House4Rent Nyumba mpya na ya kisasa inapangichwa Mbezi njia panda ya Goba na Makabe

House4Rent Nyumba mpya na ya kisasa inapangichwa Mbezi njia panda ya Goba na Makabe

Yote hii sababu huna picha za ndani za hiyo nyumba au hutaki kuziweka? Hata hizo picha za nje ulizoweka ni tata na haziendani na maelezo yako eti nyumba ipo pekee ndani ya geti. Kama ulikuwa hujui, hii Inaitwa "ad hominem" trick. Nilitegemea ungesema subiri, nitazibandika muda si mrefu. Ukweli ni kwamba unataka elfu 10 ya kiurahisi kudanganya kuonyesha nyumba watu unajua hawarudi wakiona mazingira ya ndani ya hiyo nyumba.
Mkuu wewe endelea kubweka hapa, mtu ambae yupo serious na anaeweza kulipa 500k kwa mwenzi na nimuhitaji akishaona namba hapo anapiga, zipo sababu za kutopiga picha ndani na mtu akihitaji anaona ndani! hata nikikupa sababu ww mtu unaekaa kwenu ni kazi bure.. hebu tulia mkuu tufanye kazi
 
Yote hii sababu huna picha za ndani za hiyo nyumba au hutaki kuziweka? Hata hizo picha za nje ulizoweka ni tata na haziendani na maelezo yako eti nyumba ipo pekee ndani ya geti. Kama ulikuwa hujui, hii Inaitwa "ad hominem" trick. Nilitegemea ungesema subiri, nitazibandika muda si mrefu. Ukweli ni kwamba unataka elfu 10 ya kiurahisi kudanganya kuonyesha nyumba watu unajua hawarudi wakiona mazingira ya ndani ya hiyo nyumba.
Mkuu wewe endelea kubweka hapa, mtu ambae yupo serious na anaeweza kulipa 500k kwa mwenzi na nimuhitaji akishaona namba hapo anapiga, zipo sababu za kutopiga picha ndani na mtu akihitaji anaona ndani! hata nikikupa sababu ww mtu unaekaa kwenu ni kazi bure.. hebu tulia mkuu tufanye kazi
 
Mkuu naomba ukipata masta mikocheni yenye vigezo vifuatavyo

sifa
Kiwe cha njee
Maji yawepo
Ndani ya geti
Wapangaji wachache (napenda ukimya kwaajiri ya kazi zangu)
Kisiwe ndani sana ya mitaa ambapo gari haifiki
Msikiti usiwepo karibu
Isiwe mikocheni ile ya uswazi pale


BAJETI Isizidi 140k
UKipata weka picha apa.
 
Mkuu naomba ukipata masta mikocheni yenye vigezo vifuatavyo

sifa
Kiwe cha njee
Maji yawepo
Ndani ya geti
Wapangaji wachache (napenda ukimya kwaajiri ya kazi zangu)
Kisiwe ndani sana ya mitaa ambapo gari haifiki
Msikiti usiwepo karibu
Isiwe mikocheni ile ya uswazi pale


BAJETI Isizidi 140k
UKipata weka picha apa.
Duuh 140k masharti kibao
 
Mkuu naomba ukipata masta mikocheni yenye vigezo vifuatavyo

sifa
Kiwe cha njee
Maji yawepo
Ndani ya geti
Wapangaji wachache (napenda ukimya kwaajiri ya kazi zangu)
Kisiwe ndani sana ya mitaa ambapo gari haifiki
Msikiti usiwepo karibu
Isiwe mikocheni ile ya uswazi pale


BAJETI Isizidi 140k
UKipata weka picha apa.
Mkuu Tunzo hujaona hii au??
 
Mkuu kama haupo serious potezea! eti unatafuta pesa ya kula wewe unatafuta pesa ya kunya? sinaga shida na hizo pesa za mguu, ndio mana hata nikiweka tangazo hapa sisemagi pesa za kwenda kuona nyumba, means ni maelewano yetu, pitia page zote za matangazo ya nyumba iwe hapa au instergram, zoom au page zote za matangazo ya nyumba, utaona wameweka kwenda kuona nyumba ni kuanzia 15k wengine 20k, hope wateje wangu wanalijua hilo ambao nilishawapiatia nyumba, nashangaa sana kwa kuanza kulalamika mapema! hujaona namba hapo? haupo serious! hivi kweli nimekuambia nauli, na hapa ni lipo hata 2000 haifiki inakutoa kamasi utaweza kweli kulipa 500k kwa mwezi *6 ambayo ni 3M, hahaa si itakutoa nanilii na utumbo kabisa? Sema kama huna nikutumie boda boda aje akuchukue nikupeleke ukaone bure, nikupe na nauli ya kurudi na ya usumbufu!
Watu msiosoma na kuingia katika biashara uwa hamna lugha nzuri na hata adabu kwa mteja. Watu wanakuuliza vizuri tu badala ya kuwaelekeza unawatukana. Umeambiwa uweke picha za ndani hutaki. Anayetaka kuona ndani ina maana amekuwa interested na ni jukumu la muuzaji kuweka details kwa wateja wake

Mnashindwa kujifunza kwenye makampuni ya Real Estates ya nje? au lah angalia hata wauzaji wa magari kama beforward wanaweka details zote za wanachokiuza. Hiyo nyumba vipi kama sebule yake ni ndogo sau mita 3.5 kwa 3.5? Weka picha za ndani kama wateja wanavyoomba. Ukiona mtu mmoja ameuliza hata kwa kebehi ujue jibu la swali lake litawanufaisha wengi humu ambao wanahitaji huduma yake lakini hawa-comment. Kama kazi imekushinda rudi shule ukasomee masoko.

Nchi yetu tuna safari ndefu sana. Kazi za wasomi zinafanywa na wajinga
 
Back
Top Bottom