Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes watu wengi wamelizwa kwa kuamini hii ni ofisi hawana longo longo , swala la ardhi limekuwa changamoto sana hapa darAisee kweli laana haziishi
Ndio maana kutwa wanauwana na ajali zisizoisha
Yaani mtu ana ofisi bado anatapeli
Kwa kweli tuna kazi za ziada
Njoo site uone mwenyewe, njia ya maji ipo upande wingine kabisa na nyumba ipo juu kabisa,inacho hitaji ni landscaping nzuri tuu,na kuhusu price ni vile anashida na pesa tuu gharama alizotumia na risiti zipo hamna ata faida anayopata ni kwa vile tuu ana shida na cashNyumba nzuri lakini naona kama ipo over priced na pia kama ipo kwenye njia ya maji upande wa geti la mbele
Very diplomaticNyumba nzuri lakini naona kama ipo over priced na pia kama ipo kwenye njia ya maji upande wa geti la mbele
Acha ushamba uzuri wa nyumba vyoo, we huoni nyumba za wenzetu wale high class nyumba ina vyumba 5 lakini bathrooms zipo 8.. sisi huku africa kujenga choo kimoja tuu mpaka zipigwe kampeni kwenye redio nyumba ni choo 🤣🤣🤣Watanzania tujifunze kujenga na kufikiria kesho.
Unatumia akili gani kujenga nyumba ya vyumba 4 vyenye choo ndani? Imekuwa guest?
Mnatengeneza ghost homes
hii nyumba ni old fashioned uzeni kwa 68m labda mtapata mtuHiyo nyumba + uwanja 880m Square goba, wewe ungeuza bei gani?
senior acha miyeyusho basi 😂Naona masika ntaishi hoteli tu
Hizo bati nimeziona ni z akibabe sana. Unaweza kupata 1Meter kwa 60,000, sasa imagine nyumba nzimaWe endelea kucheka tuu siku ukipata uwanja goba ukajenga nyumba ukapiga hizo bati, ukaweka madirisha pvc original, na tiles ukaenda kuchukua pale spanish tiles ndo utajua ujui