Magazine Fire
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,365
- 1,473
Mkuu hiyo nyumba haizidi mikioni 85.Wakuu bei ya maelewano ipo mtu akija kuiona hiyo nyumba tunaweza kuongea na kuafikiana bei punguzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hiyo nyumba haizidi mikioni 85.Wakuu bei ya maelewano ipo mtu akija kuiona hiyo nyumba tunaweza kuongea na kuafikiana bei punguzo
Bei uliyoanzia ni ishu! Ghorofa za watumishi house Magomeni ni 70 Million wewe huko 500+ au ulimaanisha 55M? Ndiyo tuje kuionaWakuu bei ya maelewano ipo mtu akija kuiona hiyo nyumba tunaweza kuongea na kuafikiana bei punguzo
Wanunuzi watakuja mkuu. Ila 550m mazungumzo sidhani kama yatapunguza zaidi ya 10%. Yaani bei ya 500m.Wakuu bei ya maelewano ipo mtu akija kuiona hiyo nyumba tunaweza kuongea na kuafikiana bei punguzo
Ndo bei za beach houses. Manake square meter ya ardhi maeneo hayo ziko juu mpaka 1m per square meters. Ingawa jamaa naona hajaweka umbali nyumba ilipo kutokea bahariniHii nyumba 550M kigamboni? Tuacheni utani jamani...!!
Hio sio beach house, iko mbali sana na bahari.Ndo bei za beach houses. Manake square meter ya ardhi maeneo hayo ziko juu mpaka 1m per square meters. Ingawa jamaa naona hajaweka umbali nyumba ilipo kutokea baharini
Acha utani weka bei inayo eleweka mill 550 it's jockey, kwaninavyo ionahapo we anza na 180 Milioni.