INAUZWA Nyumba na viwanja vinauzwa

Tangazo ni nyumba na viwanja .viwanja vyenyewe viko wapi sasa
 
Nyumba hii inauzwa hipo Tegeta ina full Document.
kwa maelezo zaidi piga simu
0714 768080 / 0786 558533
 
Kiwanja hiki kinaunzwa kipo Mbweni kina square metre 1200, kina full document .Kwa maelezo zaidi piga simu 0714 768080 / 0786 558533.
 
kiwanja hiki kinauzwa, kipo Wazo kina square metre 1500 kina fully document. kwa maelezo zaidi piga simu 0714 768080 / 0786 558533
 
Mkuu weka na bei ili iwe rahisi kupata wateja
ndio maana nimeweka mawasiliano kwa ajili ya maelezo zaidi, humu kuna watu awana akili nzuri, wataanza kuleta kebei na masihara ndio sikuweka bei open
 
Weka bei mkuu.
mkuu nimepost nyumba 2 na viwanja 2 kwa thread tofauti, ila maelezo zaidi njoo PM na uatachi picture 1 or 2 ili nifahamu unataka kipi ili nikupe maelezo yake.
 
Mkuu weka bei ya kuanzia, unaweza kusema pia kuna maongezi kwa anayetaka kununua.
 
ndio maana nimeweka mawasiliano kwa ajili ya maelezo zaidi, humu kuna watu awana akili nzuri, wataanza kuleta kebei na masihara ndio sikuweka bei open
Hujiamini nini na bei mkuu??
 
Mkuu kama hauwezi kuweka bei all your post are meaningless and useless. Inabidi uvutie watu kununua kitu Unachouza. Kitu kikubwa cha kuvutia watu ni bei ya kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…