Nyumba ni kaburi lililojengwa juu ya ardhi

Nyumba ni kaburi lililojengwa juu ya ardhi

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Unapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia.

Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho wao huwa ni kuoza ardhini.

Kwa sisi binadamu tukifa, ndio tunafukiwa kwenye makaburi ya chini ya ardhi ila tukiwa tunaishi huwa tunajificha kwenye makaburi ya juu ya ardhi (majengo).

Kwa mazingira hayo, kwa nini tusitumie nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya chini ya ardhi kuliko kutumia nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya juu ya ardhi yenye mfuniko wa mabati au vigae?​
 
𝐇𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐧𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐤𝐢𝐟𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐞𝐧𝐞𝐨 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐨𝐧𝐝𝐨𝐚 𝐡𝐚𝐫𝐮𝐟𝐮 𝐤𝐚𝐥𝐢.
 
𝐇𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐧𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐤𝐢𝐟𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐞𝐧𝐞𝐨 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐨𝐧𝐝𝐨𝐚 𝐡𝐚𝐫𝐮𝐟𝐮 𝐤𝐚𝐥𝐢.
Uko sahihi
 
Unapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia.

Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho wao huwa ni kuoza ardhini.

Kwa sisi binadamu tukifa, ndio tunafukiwa kwenye makaburi ya chini ya ardhi ila tukiwa tunaishi huwa tunajificha kwenye makaburi ya juu ya ardhi (majengo).

Kwa mazingira hayo, kwa nini tusitumie nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya chini ya ardhi kuliko kutumia nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya juu ya ardhi yenye mfuniko wa mabati au vigae?​
Umaskini mbaya sana mtu maskini Huwa na vikihekima vya kijinga jinga vya kimaskini ambavyo yeye na maskini wenzie huona kama vihekima kumbe ujinga mtupu

Jenga au panga nyumba nzuri wewe uishi vizuri unapokuwa duniani acha porojo.

Mapadri wenyewe wanaohuniri kuwa Yesu alikuwa maskininna wao wamejitoa Kuishi maisha ya Kristo ya umaskini wanaushi nyumba nzuri sana .Hawana utani inapofika nyumba zao za kuishi
 
Unapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia.

Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho wao huwa ni kuoza ardhini.

Kwa sisi binadamu tukifa, ndio tunafukiwa kwenye makaburi ya chini ya ardhi ila tukiwa tunaishi huwa tunajificha kwenye makaburi ya juu ya ardhi (majengo).

Kwa mazingira hayo, kwa nini tusitumie nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya chini ya ardhi kuliko kutumia nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya juu ya ardhi yenye mfuniko wa mabati au vigae?​
Jf ya sasa😃😃🙌
Kwamba watu waanze kulala juu ya miti? Au waishi misituni?
 
Nina jirani yangu muhaya,akanisogezea mpaka hatua tatu kwa kuotesha miashoki nikamuita kiutu uzima bwana ndugu yangu naona kidogo ulipitiwa nataka niinue ukuta kwa hiyo fundi nimemuelekeza afuate alama ile pale(ya zamani na ndiyo iliyopo kwenye maandishi na miaka yote ndiyo tunaitumia).

Nashangaa mwenzangu ananiambia tukutane mahakamani,nikajiuliza huyu mtu vipi?hatua tatu unakufa unaziacha hapo kesho na bado tupotezeane muda?
 
Back
Top Bottom