mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Ni hatari ,maana unatishwa ova kiama kishafika dadadeq zao ππLazima uamke dadeki zake .....
πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari ,maana unatishwa ova kiama kishafika dadadeq zao ππLazima uamke dadeki zake .....
πππππ
πππNyuz za hivi uletwa na wenye PhD
Ambao kimtaa tunachukulia wamesoma Sana mpk wamechanganyikiwaπ
Nakuona ukiwa umejifungia kwenye kaburi lililojengwa juu ya ardhi, likiwa na umeme ndani, kitanda, viti, masufuri πWee jamaaa itakua ndo wale Mashekh ambao saa 11 alfjiri huwa wanatupa vitisho..
""Shuka uliyojifunika ndo sanda yako...
Sijui nyumba ndo kaburi.. umo umo an ..""'
Ni kutishana tu πππππ
Wanyama Wana manyoya yanayohifadhi mwili wao, wewe una nini?Kama tunafata akili za Wanyama ina maana hatutakiwi kuvaa nguo, tukae uchi?
Watu wa kale hawakuishi kwenye makaburi yaliyojengwa juu ya ardhi, waliishi vichakani; sasa wewe endelea kujifungia kwenye hilo kaburi lenye umeme,vyombo, vitanda, makochi n.kUmaskini mbaya sana mtu maskini Huwa na vikihekima vya kijinga jinga vya kimaskini ambavyo yeye na maskini wenzie huona kama vihekima kumbe ujinga mtupu...
Wataalamu wanasema, nyumba ni ''advanced grave''Jf ya sasaπππ
Kwamba watu waanze kulala juu ya miti? Au waishi misituni?
Aya leta ukweliMtoa mada upo wrong sana.
Bin Adam anatafakarisha Sana,mbuzi wake wakipotea anasikitika,,mimea shambani ikikauka anasikitika,umri unaenda hasikitiki.Wee jamaaa itakua ndo wale Mashekh ambao saa 11 alfjiri huwa wanatupa vitisho..
""Shuka uliyojifunika ndo sanda yako...
Sijui nyumba ndo kaburi.. umo umo an ..""'
Ni kutishana tu πππππ
Dunia inahitaji tuishi kwa busara sanaNina jirani yangu muhaya,akanisogezea mpaka hatua tatu kwa kuotesha miashoki nikamuita kiutu uzima bwana ndugu yangu naona kidogo ulipitiwa nataka niinue ukuta kwa hiyo fundi nimemuelekeza afuate alama ile pale (ipo kwenye maandishi na miaka yote ndiyo tunaitumia).
Nashangaa mwenzangu ananiambia tukutane mahakamani,nikajiuliza huyu mtu vipi?hatua tatu unakufa unaziacha hapo kesho na bado tupotezeane muda.
Uko sahihi kabisa, ndio maana wanaita nyumba ya mileleNa kaburi ni nyumba chini ya ardhiπ
PhD bila kuajiriwa unaona maisha magumu, sasa tufanyeje ππNyuz za hivi uletwa na wenye PhD
Ambao kimtaa tunachukulia wamesoma Sana mpk wamechanganyikiwaπ
Tunapambana sana kujenga makaburi yenye ukuta mkubwa, machuma n.kmabandiko mengine yanachekesha sana
shida iko wapTunapambana sana kujenga makaburi yenye ukuta mkubwa, machuma n.k
Somo lieleweke, kuwa nyumba ni kaburi lilojengwa juu ya ardhi, na kaburi ni nyumba iliyojengwa chini ya ardhi, ndio maana inaitwa nyumba ya mileleshida iko wap
mawazo yako uko sawa mkuuSomo lieleweke, kuwa nyumba ni kaburi lilojengwa juu ya ardhi, na kaburi ni nyumba iliyojengwa chini ya ardhi, ndio maana inaitwa nyumba ya milele
Hahaaahaaa hatari sanaWee jamaaa itakua ndo wale Mashekh ambao saa 11 alfjiri huwa wanatupa vitisho..
""Shuka uliyojifunika ndo sanda yako...
Sijui nyumba ndo kaburi.. umo umo an ..""'
Ni kutishana tu πππππ
Ndio hivyo, ata chini ya ardhi tunakuwa juu ya viumbe wengineso ukiwa unaishi ghorofani utakuwa ndani ya makaburi mengi yaliyopo juu ya ardhi