Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuanzia kesho naanza kulala njeKuna ukweli hapa
Na utu ni kuwaheshimu viumbe wengine walioumbwa katika hii duniaKAZI ni kipimo Cha utu
ha ha ha haNIkajua unaanza adhana ya alfajiri
Uko sahihi𝐇𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐧𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐤𝐢𝐟𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐞𝐧𝐞𝐨 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐨𝐧𝐝𝐨𝐚 𝐡𝐚𝐫𝐮𝐟𝐮 𝐤𝐚𝐥𝐢.
Kwa nini unavaa nguo?Kama tunafata akili za Wanyama ina maana hatutakiwi kuvaa nguo, tukae uchi?
Umaskini mbaya sana mtu maskini Huwa na vikihekima vya kijinga jinga vya kimaskini ambavyo yeye na maskini wenzie huona kama vihekima kumbe ujinga mtupuUnapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia.
Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho wao huwa ni kuoza ardhini.
Kwa sisi binadamu tukifa, ndio tunafukiwa kwenye makaburi ya chini ya ardhi ila tukiwa tunaishi huwa tunajificha kwenye makaburi ya juu ya ardhi (majengo).
Kwa mazingira hayo, kwa nini tusitumie nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya chini ya ardhi kuliko kutumia nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya juu ya ardhi yenye mfuniko wa mabati au vigae?
Jf ya sasa😃😃🙌Unapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia.
Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho wao huwa ni kuoza ardhini.
Kwa sisi binadamu tukifa, ndio tunafukiwa kwenye makaburi ya chini ya ardhi ila tukiwa tunaishi huwa tunajificha kwenye makaburi ya juu ya ardhi (majengo).
Kwa mazingira hayo, kwa nini tusitumie nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya chini ya ardhi kuliko kutumia nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya juu ya ardhi yenye mfuniko wa mabati au vigae?
Ni vitisho tu mwanzo mwishoWee jamaaa itakua ndo wale Mashekh ambao saa 11 alfjiri huwa wanatupa vitisho..
""Shuka uliyojifunika ndo sanda yako...
Sijui nyumba ndo kaburi.. umo umo an ..""'
Ni kutishana tu 😂😂😂😂😂
Lazima uamke dadeki zake .....Ni vitisho tu mwanzo mwisho