Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Nakuona umejifungia kaburini π πWewe sio wadot com, tukurudishe kwenye kizazi cha Zamadamu.
Maskini ndio husema hivyoWataalamu wanasema, nyumba ni ''advanced grave''
πππWee jamaaa itakua ndo wale Mashekh ambao saa 11 alfjiri huwa wanatupa vitisho..
""Shuka uliyojifunika ndo sanda yako...
Sijui nyumba ndo kaburi.. umo umo an ..""'
Ni kutishana tu πππππ
Baada ya kushindwa kujengaβ¦Unapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia.
Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho wao huwa ni kuoza ardhini.
Kwa sisi binadamu tukifa, ndio tunafukiwa kwenye makaburi ya chini ya ardhi ila tukiwa tunaishi huwa tunajificha kwenye makaburi ya juu ya ardhi (majengo).
Kwa mazingira hayo, kwa nini tusitumie nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya chini ya ardhi kuliko kutumia nguvu nyingi kuwekeza kwenye makaburi ya juu ya ardhi yenye mfuniko wa mabati au vigae?
πππππππ We jamaa ni shekhe etBin Adam anatafakarisha Sana,mbuzi wake wakipotea anasikitika,,mimea shambani ikikauka anasikitika,umri unaenda hasikitiki.
Shekheee hapo hutoboi πππππHahaaahaaa hatari sana
Hatareeee anπππ