Nyumba niliyokuwa naisifia, leo nimeletewa jipya

Nyumba niliyokuwa naisifia, leo nimeletewa jipya

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Hii nyumba nilijiona ni kama nina bahati ya kupangisha hapo
maana toka nihamie huu ni mwezi wa tatu lakini sijawahi nunua umeme na kodi nimelipa tu ule mwezi wa 2 nyuma sikulipa lakini kwa habari nilizozipata.

Nitawaletea mrejesho nikisha fanikiwa kuhama maana nasikia ukishapangisha hapo kuondoka ni muziki mnene.

Dua kwenu wadau maana nikijumlisha na ile ndoto yangu ya kuendesha treni kwenye njia ya vumbi bila reli napata wazimu.

Mungu anisaidie nihame salama
 
Acha kuogopa ogopa mkuu, unahama vipi nyumba kama hiyo, umeme bure kodi hawadai🤣🤣🤣
 
Umeambiwa nini? kwa kushare unapunguza mzigo ndani yako lakini pia unapata mawazo ya wengine.

Pole.
 
Hii nyumba nilijiona ni kama nina bahati ya kupangisha hapo
maana toka nihamie huu ni mwezi wa tatu lakini sijawahi nunua umeme na kodi nimelipa tu ule mwezi wa 2 nyuma sikulipa lakini kwa habari nilizozipata.

Nitawaletea mrejesho nikisha fanikiwa kuhama maana nasikia ukishapangisha hapo kuondoka ni muziki mnene.

Dua kwenu wadau maana nikijumlisha na ile ndoto yangu ya kuendesha treni kwenye njia ya vumbi bila reli napata wazimu.

Mungu anisaidie nihame salama
Duuu! Pole sana
 
Back
Top Bottom