Nyumba ninayoishi inasemwa kuwa ina mauzauza sana lakini sijawahi kuyaona

Nyumba ninayoishi inasemwa kuwa ina mauzauza sana lakini sijawahi kuyaona

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Wakuu nyumba ninayo ishi(nimepanga),kiukweli nyumba hii inasemwa vibaya sana na watu mtaani,..inasemwa kuwa ina mauzauza sana.

Watu huniuliza sana ninaishije mahali hapa,..hata mwenyeji nikimuelekeza ninaishi nyumba flani hunishangaa sana,...kiasi mimi nina miaka mitatu lakini sijawahi kuona chochote...au kama ni uchawi sijawahi kuusibitisha kwa namna yoyote ile...

Zaidi ya wapangaji wenzangu kulalamika kuwa wanasikia,,.mauzauza..mara hatua za mtu,mara maji yanafunguka na hakuna aliefungua,,mara hamna rizki,,..kuna kipindi watu wote walihama nikaishi mwenyewe zaidi ya miezi sita..

Huku vyumba vingine vikiwa tupu,,,sikuona chchote..ilhali na mimi sina kinga yoyote ya kiganga labda

Sasa wakuu je?naweza pata changamoto huko mbeleni?mimi malengo yangu ni kuhamia kwangu nikimaliza ujenzi ambao hauwezi kuisha siku za karibuni
 
Hata hivyo Watanzania mnapenda sana uzushi.

Anaweza kutokea mtu mmoja tu akajitungia kitu; basi, kila mmoja anakuwa balozi.

Mfano: Mtu anaamua kusema kule sumbawanga kuna wachawi. Basi kila mtu huamini kila anaetoka Sumbawanga ni mchawi.
 
Hata hivyo Watanzania mnapenda sana uzushi.

Anaweza kutokea mtu mmoja tu akajitungia kitu; basi, kila mmoja anakuwa balozi.

Mfano: Mtu anaamua kusema kule sumbawanga kuna wachawi. Basi kila

Ukishaanza kua na hofu ya kurogwa,

Kila linalokuendea kombo,
Basi utahisi kwamba umerogwa.
Yeah kuna muda narudi mitungi sana halafu mida mibovu...pengine husaidia...njikuta asubuhi
 
Wakuu nyumba ninayo ishi(nimepanga),kiukweli nyumba hii inasemwa vibaya sana na watu mtaani,..inasemwa kuwa ina mauzauza sana.

Watu huniuliza sana ninaishije mahali hapa,..hata mwenyeji nikimuelekeza ninaishi nyumba flani hunishangaa sana,...kiasi mimi nina miaka mitatu lakini sijawahi kuona chochote...au kama ni uchawi sijawahi kuusibitisha kwa namna yoyote ile...

Zaidi ya wapangaji wenzangu kulalamika kuwa wanasikia,,.mauzauza..mara hatua za mtu,mara maji yanafunguka na hakuna aliefungua,,mara hamna rizki,,..kuna kipindi watu wote walihama nikaishi mwenyewe zaidi ya miezi sita..

Huku vyumba vingine vikiwa tupu,,,sikuona chchote..ilhali na mimi sina kinga yoyote ya kiganga labda

Sasa wakuu je?naweza pata changamoto huko mbeleni?mimi malengo yangu ni kuhamia kwangu nikimaliza ujenzi ambao hauwezi kuisha siku za karibuni
Yanakutafutia timing
 
Wakuu nyumba ninayo ishi(nimepanga),kiukweli nyumba hii inasemwa vibaya sana na watu mtaani,..inasemwa kuwa ina mauzauza sana.

Watu huniuliza sana ninaishije mahali hapa,..hata mwenyeji nikimuelekeza ninaishi nyumba flani hunishangaa sana,...kiasi mimi nina miaka mitatu lakini sijawahi kuona chochote...au kama ni uchawi sijawahi kuusibitisha kwa namna yoyote ile...

Zaidi ya wapangaji wenzangu kulalamika kuwa wanasikia,,.mauzauza..mara hatua za mtu,mara maji yanafunguka na hakuna aliefungua,,mara hamna rizki,,..kuna kipindi watu wote walihama nikaishi mwenyewe zaidi ya miezi sita..

Huku vyumba vingine vikiwa tupu,,,sikuona chchote..ilhali na mimi sina kinga yoyote ya kiganga labda

Sasa wakuu je?naweza pata changamoto huko mbeleni?mimi malengo yangu ni kuhamia kwangu nikimaliza ujenzi ambao hauwezi kuisha siku za karibuni
Mauzauza oye
 
Back
Top Bottom