Nyumba nyingi huku Visiga zimeachwa kwenye maboma

Nyumba nyingi huku Visiga zimeachwa kwenye maboma

Bikirajohola

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2022
Posts
356
Reaction score
634
Huku maeneo ya kwetu Kibaha -Visiga nyumba zilizokuwa zinaota kama uyoga miaka miwili iliyopita sasa zimebaki maboma tu na waliokuwa wanazijenga haijulikani wamepotelea wapi.

Sasa hivi ujenzi unaoendelea kwa kasi maeneo yetu ni wa vituo vya kuuza mafuta lakini ujenzi wa watu binafsi umedorara sana.

Tatizo ni nini?
 
Huku maeneo ya kwetu Kibaha -Visiga nyumba zilizokuwa zinaota kama uyoga miaka miwili iliyopita sasa zimebaki maboma tu na waliokuwa wanazijenga haijulikani wamepotelea wapi.

Sasa hivi ujenzi unaoendelea kwa kasi maeneo yetu ni wa vituo vya kuuza mafuta lakini ujenzi wa watu binafsi umedorara sana.

Tatizo ni nini?
Kipindi cha Jiwe watu walikuwa wakiiba wanakimbilia kwenye mali zisizohamishika kwa sababu ya kuogooa kufanya biashara au kuweka pesa banks..

Kwa sasa mitaji imerudishwa kwenye biashara ndio maana hayo Majumba yameachwa kwa sababu yalijengwa kama namna ya kutunza pesa
 
Kipindi cha Jiwe watu walikuwa wakiiba wanakimbilia kwenye mali zisizohamishika kwa sababu ya kuogooa kufanya biashara au kuweka pesa banks..

Kwa sasa mitaji imerudishwa kwenye biashara ndio maana hayo Majumba yameachwa kwa sababu yalijengwa kama namna ya kutunza pesa
Biashara gani
 
Back
Top Bottom