Bikirajohola
JF-Expert Member
- Jun 11, 2022
- 356
- 634
Kamba zimewatembelea wajenzi wa vituo vya mafuta.
DuhAcha kabisa pesa imekuwa haigawanyiki
Kipindi cha Jiwe watu walikuwa wakiiba wanakimbilia kwenye mali zisizohamishika kwa sababu ya kuogooa kufanya biashara au kuweka pesa banks..Huku maeneo ya kwetu Kibaha -Visiga nyumba zilizokuwa zinaota kama uyoga miaka miwili iliyopita sasa zimebaki maboma tu na waliokuwa wanazijenga haijulikani wamepotelea wapi.
Sasa hivi ujenzi unaoendelea kwa kasi maeneo yetu ni wa vituo vya kuuza mafuta lakini ujenzi wa watu binafsi umedorara sana.
Tatizo ni nini?
Biashara ganiKipindi cha Jiwe watu walikuwa wakiiba wanakimbilia kwenye mali zisizohamishika kwa sababu ya kuogooa kufanya biashara au kuweka pesa banks..
Kwa sasa mitaji imerudishwa kwenye biashara ndio maana hayo Majumba yameachwa kwa sababu yalijengwa kama namna ya kutunza pesa
Wewe kwenye mada yako umetaja biashara gani?Biashara gani
Mtu anayejenga nyumba ya kuishi Visiga anaweza kuwa na mtaji wa kufungua kituo cha kuuzia mafuta?Wewe kwenye mada yako umetaja biashara gani?
Pili acha utoto kwa hiyo huzijui biashara au? Saizi unasikia vilio vya kukimbia Nchi na kufunga biashara?
Biashara ni kituo cha mafuta tuu?Mtu anayejenga nyumba ya kuishi Visiga anaweza kuwa na mtaji wa kufungua kituo cha kuuzia mafuta?
Ndiyo tunataka utuambie hizo biasharaBiashara ni kituo cha mafuta tuu?
Naona umemshinda kwa hoja huyo fala. Achana nae, asikupotezee mudaNdiyo tunataka utuambie hizo biashara
Hakuna biashara yeyote wote wameenda kuchunga ng'ombeNdiyo tunataka utuambie hizo biashara
Ndio ukweli wenyeweAcha kabisa pesa imekuwa haigawanyiki
Mkuu kausha basi ina maana huzijui biashara,inawezekana hata mtu mwenye milioni 2 akaogopa kuiweka bank endapo akihisi bank imegeuzwa kituo cha polisiNdiyo tunataka utuambie hizo biashara
Endelea kujipa moyoMkuu kausha basi ina maana huzijui biashara,inawezekana hata mtu mwenye milioni 2 akaogopa kuiweka bank endapo akihisi bank imegeuzwa kituo cha polisi
Mkuu moyo umefikaje hapaEndelea kujipa moyo
Ni bora ukajikita kwenye hojaMkuu moyo umefikaje hapa