House4Rent Nyumba nzima inapangishwa Kimara Mwisho Tzs. 200,000/= kwa mwezi unaweza kulipa mpaka miezi mitatu

House4Rent Nyumba nzima inapangishwa Kimara Mwisho Tzs. 200,000/= kwa mwezi unaweza kulipa mpaka miezi mitatu

Manumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2019
Posts
1,244
Reaction score
697
Ina fence na geti la kisasa

Ina vyumba vitatu (3) kimoja
ni Master bedroom

Inside public toilet na outside public toilet (choo cha mlinzi)

Stoo, Parking kubwa ya paving, Sebule, Dining na Jiko

Maji yapo + Umeme (Luku)

Kodi: TZS. 200,000/= (Unalipa mpaka miezi mitatu)

Call: 0717 650800


JamiiForums-1458153049.jpg
 
Nyumba ilipata mpangaji tarehe 02 January 2020, bahati mbaya tulipangisha TAPELI...Ametapeli watu huko kiasi cha kuwapeleka watu wa benki pale nyumbani na kusema nyumba ni ya kwake, ndipo hapo alipogundulika na hakufanikiwa.

Kwahiyo kaondoka kwa matatizo yake na sio ya nyumba.

Ahsanteni kwa kunielewa wakuu na karibuni sana. [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh hii nyumba haina chembechembe za utapeli kweli? mbona ina mwaka sasa tangu itangazwe.
 
Nyumba ilipata mpangaji tarehe 02 January 2020, bahati mbaya tulipangisha TAPELI...Ametapeli watu huko kiasi cha kuwapeleka watu wa benki pale nyumbani na kusema nyumba ni ya kwake, ndipo hapo alipogundulika na hakufanikiwa.
.
Kwahiyo kaondoka kwa matatizo yake na sio ya nyumba.
.
Ahsanteni kwa kunielewa wakuu na karibuni sana. [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aseee....
 
Back
Top Bottom