- Thread starter
- #41
Well said [emoji1666]Niliwahi pata nyumba maeneo ya Tabata, wakati naingia niliambiwa humu wapangaji huwa hawakai, mimi nilikaa kama miezi 8 nikahama jiji kwa sababu zangu, yawezekana kabsa nyumba au mwenye nyumba hana tatizo shida ni wapangaji tu.
Sent using Jamii Forums mobile app