Kila uki comment lazm ni view avatar yako [emoji2960]Hili gheto limerudi tena jamvini wakuu
Hata mimi!Kila uki comment lazm ni view avatar yako [emoji2960]
Sio kweli mkuu, soma comment yangu namba 10mmh hii nyumba haina chembechembe za utapeli kweli? mbona ina mwaka sasa tangu itangazwe
Babe nikupangishie?Hili gheto limerudi tena jamvini wakuu
Usinambie[emoji848]Kila uki comment lazm ni view avatar yako [emoji2960]
ApiaHata mimi!
semper fidelis
Aseee....Nyumba ilipata mpangaji tarehe 02 January 2020, bahati mbaya tulipangisha TAPELI...Ametapeli watu huko kiasi cha kuwapeleka watu wa benki pale nyumbani na kusema nyumba ni ya kwake, ndipo hapo alipogundulika na hakufanikiwa.
.
Kwahiyo kaondoka kwa matatizo yake na sio ya nyumba.
.
Ahsanteni kwa kunielewa wakuu na karibuni sana. [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haki ya Mungu [emoji26][emoji26][emoji26]Usinambie[emoji848]