Well said [emoji1666]Niliwahi pata nyumba maeneo ya Tabata, wakati naingia niliambiwa humu wapangaji huwa hawakai, mimi nilikaa kama miezi 8 nikahama jiji kwa sababu zangu, yawezekana kabsa nyumba au mwenye nyumba hana tatizo shida ni wapangaji tu.
Utakuta unaongea hiv bado unakaa kwa dada yako afu unalopoka tu...nyambafuuNyumba mbaya sana hata bure sikai
Utakuta unaongea hiv bado unakaa kwa dada yako afu unalopoka tu...nyambafuu
Ww ndio umeleta dharau kwenye nyumba ya mwenzako hata kama ni tajiri kauli ulizotumia SI SAWAKhaaa kweli usomjua utamdharau[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ww ndio umeleta dharau kwenye nyumba ya mwenzako hata kama ni tajiri kauli ulizotumia SI SAWA
Kama unaiona mbaya uliingia kufanya nini ulipoona inapangishwa laki mbili au ulitaka nyumba ya laki mbili iwaje tofauti na hiyo?....ngoja nikuache boss usije sema dharau tena!!!!Ndio nishaiyona mbaya Kwani uwongo wewe unaiyona nzuri ?! Ni mtazamo wangu nawe kama umeiyona nzuri sijakukataza sawa
Yani mimi nimeona matabgazo yake hadi nimechokaHii nyumba itakua na majini🤣🤣....kitambo sana bado haijapata mtu?
Kama unaiona mbaya uliingia kufanya nini ulipoona inapangishwa laki mbili au ulitaka nyumba ya laki mbili iwaje tofauti na hiyo?....ngoja nikuache boss usije sema dharau tena!!!!
We lazima ni mdada maana unanyumbua sana vitu 😂😂So unanipangia nini chakusoma JamiiForums !![emoji28][emoji3]
Mi mwnyw naijua,Hii nyumba itakua na majini[emoji1787][emoji1787]....kitambo sana bado haijapata mtu?
Pole Sana, matapeli sio watu wazuriNyumba ilipata mpangaji tarehe 02 January 2020, bahati mbaya tulipangisha TAPELI...Ametapeli watu huko kiasi cha kuwapeleka watu wa benki pale nyumbani na kusema nyumba ni ya kwake, ndipo hapo alipogundulika na hakufanikiwa.
Kwahiyo kaondoka kwa matatizo yake na sio ya nyumba.
Ahsanteni kwa kunielewa wakuu na karibuni sana. [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app