House4Sale Nyumba nzuri furnished inauzwa bil1 na 35

House4Sale Nyumba nzuri furnished inauzwa bil1 na 35

Mkuu embu toa maelezo ya kutosha juu ya eneo iliyopo nyumba pamoja na location maana umetaja lakke phase tu,nimevutiwa na hiyo nyumba afu billion moja sio kitu maana sio wote makupuku unavyofikiri
Kama Upo seriously njoo inbox kama huwez kuweka details za kutosha


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuondoa inconveniences hii nyumba nimepost just for fun inauzwa ipo Lekki phase nchini Nigeria, labda kama unataka kupewa uraia wa Nigeria its okay nikuconnect na mmliki.... Na isitoshe zipo house za Bei nafuu zaidi na nzuri.
 
Back
Top Bottom