Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo Bado iyo Nyumba? Laki6 anachukua? Inafaa kwa ofisi?Nyumba Ipo safi ina vyumba vitatu na Kimoja master ambacho kina AC, Jiko safi sebule na mazingira mtulivu, maji yapo na tank la maji Juu, Ipo mabatini ya kutoka Africa sana, lami mpaka getini, bei ni 650,000 maongezi yapo, pia wale wa chumba, master, chumba na sebule, vyumba viwili vipo, cha msingi mtu uwe serious, Maeneo ni sinza, mwenge, savei na Mbezi,,. if you are interested don't hesitate to contact me, my no is 0713415537, please only serious people, na wahitaji tu.
okNi kweli mkuu ZanzibarSpices,Mkuu Tunzo Jf ni pazuri kwa biashara ila kuwa mvumilivu kuna watu humu wao ni kukosoa tu liwe jambo zuri au baya,nakuomba kuwa mtulivu humu yaani ww unavyopanic ndyo raha yke kuwa limekupata na wapo wenye shida na hitajio hilo lzm wata ku PM kuwa mpole
Weka picha basi na location tuzioneHahaa mkuu zipo pia, ila ni chumba, au chumba na sebule
Kwahyo bei mwenye kulipa lazima atakuwa jipu