House4Rent Nyumba\Vyumba Vya Kupanga MbeziBeach, Kawe

House4Rent Nyumba\Vyumba Vya Kupanga MbeziBeach, Kawe

Dalali KinG

Senior Member
Joined
Jan 16, 2019
Posts
102
Reaction score
71
Habari; napangisha nyumba ama apartment mbezibeach
 

Attachments

  • IMG_20190126_152414_578.jpeg
    IMG_20190126_152414_578.jpeg
    55.9 KB · Views: 73
  • IMG-20190124-WA0004.jpeg
    IMG-20190124-WA0004.jpeg
    12.6 KB · Views: 72
  • IMG_20190121_132404.jpeg
    IMG_20190121_132404.jpeg
    45.6 KB · Views: 72
Maeneo ya mbenzi bichi maeneo ya kuanzia thank bovu kwende mle mpaka Africana napata chumba kwa Bei gani ili nikutafute mi nipo temeke

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Kama Unaulizia Chumba Chenye Choo nje Cha Kushea, Bei inategemea na hadhi ya Chumba na Ukubwa Wa Chumba na Umbali toka barabara Kuu. Kuna Vyumba Vya Kuanzia elfu 30 hadi laki 1.

Kama Unaulizia Chumba Chenye Choo Chake Ndani, Vingezo kama nilivyotaja hapo juu, Bei ni Kuanzia laki moja hadi laki 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom