House4Rent Nyumba ya familia inahitajika Mikocheni kwa 250k

House4Rent Nyumba ya familia inahitajika Mikocheni kwa 250k

ana maana mikocheni ya kigamboni.mbona chanika kuna masaki?
Hahahahaha bro una makusudi kishenzi.
Ila namshauri aje kigamboni atapata nyumba nzima ya vyumba vitatu moja master choo,jiko na dinning room ikiwa na fance juu kwa 200 to 250k
 
Hahahahaha bro una makusudi kishenzi.
Ila namshauri aje kigamboni atapata nyumba nzima ya vyumba vitatu moja master choo,jiko na dinning room ikiwa na fance juu kwa 200 to 250k
Kigmboni sehemu gani hii
 
Salaam..

Natafuta nyumba nzuri ya kupanga maeneo ya Mikocheni, Dar. Muhitaji ana familia so inahitajika iwe ni ya vyumba viwili, sebule pamoja na jiko.

Muhimu: Isiwe mazingira ya uswazi na bei isizidi laki 2 na 50 kwa mwezi.

Asante
Unatafuta chumba cha gesti sio nyumba ya kupanga
 
Kigmboni sehemu gani hii
Kigamboni kisiwani,kigamboni soweto n.k n.k.
Km nyumba ya vyumba viwili ni 150k.
Na ni nzuri tu huku mji si ndio unajengeka bro yani kumetulia asikwambie mtu ule ufukunyuku na uswahili km wa Temeke haupo ni sehem nzuri ambayo inasapoti hatta ukuaji mzuri na malezi bora ya mtoto.
Mimi nimepangishiwa nyumba ya vyumba vitatu sitting room,dinning,choo na jiko 200k kwa mwez maeneo ya Vijibwen karibia na kisiwani mkwajuni.
Na nzuri haina tatizo.
Kama akitaka anapata fasta tu hususan maeneo ya soweto ndio zinazidi kujengwa nyumba na kupangishwa.
Sio lazima mbanane huko mbona kuna sehem nzuri zimetulia huku mpk raha na nzuri tuu???
 
Kigamboni kisiwani,kigamboni soweto n.k n.k.
Km nyumba ya vyumba viwili ni 150k.
Na ni nzuri tu huku mji si ndio unajengeka bro yani kumetulia asikwambie mtu ule ufukunyuku na uswahili km wa Temeke haupo ni sehem nzuri ambayo inasapoti hatta ukuaji mzuri na malezi bora ya mtoto.
Mimi nimepangishiwa nyumba ya vyumba vitatu sitting room,dinning,choo na jiko 200k kwa mwez maeneo ya Vijibwen karibia na kisiwani mkwajuni.
Na nzuri haina tatizo.
Kama akitaka anapata fasta tu hususan maeneo ya soweto ndio zinazidi kujengwa nyumba na kupangishwa.
Sio lazima mbanane huko mbona kuna sehem nzuri zimetulia huku mpk raha na nzuri tuu???
Hivi washaacha wizi huko kigamboni maana unaweza lala ukaamka watu wamekata dirisha flat screen hakuna, HI FI system wameiba bila kusahau kuiba taa za Fuga, power window, etc
 
Hivi washaacha wizi huko kigamboni maana unaweza lala ukaamka watu wamekata dirisha flat screen hakuna, HI FI system wameiba bila kusahau kuiba taa za Fuga, power window, etc
Bro wizi haupo mji umekuwa sasa.
Kuna ulinzi shirikishi ndio maana kuna aman sasa hv.
Miezi mitatu iliopita wez wamekatwa sana mapanga kiasi sasa hv wamepungua yan kesi za wizi kwa sasa ni very very rare.
 
Unatafuta chumba cha gesti sio nyumba ya kupanga

Nilipata tena kwa 230k mkuu. Haikuwa nyumba nzima though. Ni master, sebule na jiko.

Sio uswazi.

Maisha yamebadilika sana. Tupo era ya Ngosha.
 
hiyo hela bora akanunue TECNO N2,mikocheni gani hiyo utapata nyumba kwa 250k,pagala tu kule ni 400k
 
Kumbe wengi hawapajui mikocheni yote hapa pale Chama mbona unapata tu tena uswahilini kichizi
 
Back
Top Bottom