Pafyum
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 208
- 113
![]()
Hii nyumba ni simple na ina ghorofa (three floors). Haivutii macho, mwenyewe alitaka tu sifa ya kwamba ana ghorofa, na pengine angejenga nyumba ndogo ya kawaida na simple umaliziaji wake ungekamilika na kuleta mvuto.
Mi nilijua ni Kanisa