dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
Mbona kama panajaa maji hapoNyumba ipo mbweni Jkt, vyumba 4 vyote self, na pia kuna nyumba ndogo kwa ajili ya wafanyakazi...
Mbona kama panajaa maji hapo
Nzuri Sana.
nyumba nzuri ila usawa unakaba. ila huyo mwamba anauza hata kabla hajakaa!?
Hahaa kweli, mwamba anahitaji hela afanyie mambo mengine
Jenga uza?
Nyumba n nzuri kwa kweli. Ipo haja ya kwenda kuicheki
Huu mjengo bado upo, tuma na picha za ndani nione finishing yake...Karibu sana mkuu
Huu mjengo bado upo, tuma na picha za ndani nione finishing yake...
Mkuu nakukumbushaNyumba n nzuri kwa kweli. Ipo haja ya kwenda kuicheki
Paka leo haijauzika tu ? Hapo pembeni kama kuna njia ya maji au macho yangu tu ?Nyumba inauzwa mbweni Jkt...karibu sana mteja wetu tukuhudumie