House4Sale Nyumba ya Ghorofa inauzwa Mbweni

House4Sale Nyumba ya Ghorofa inauzwa Mbweni

dovillenproperty

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
3,203
Reaction score
2,227
Nyumba ipo mbweni Jkt, vyumba 4 vyote self, na pia kuna nyumba ndogo kwa ajili ya wafanyakazi nk
Nyumba bado ni mpya kabisa na ukinunua unakabidhiwa ikiwa imekamilika kila kitu

Uwanja una ukubwa wa 1200sqm

Bei 550m

Maongezi zaidi 0756060183

IMG_20190425_130648.jpeg
IMG_20190425_130745.jpeg
IMG_20190425_130724.jpeg
IMG_20190425_130623.jpeg
IMG_20190425_130512.jpeg
IMG_20190425_130534.jpeg
IMG_20190425_130418.jpeg


IMG_20190425_130418.jpeg


IMG_20190425_130709.jpeg
 
Hivi unajenga nyumba ya vyumba vinne vyote ni en-suite ndiyo kumantain social distancing?

Master bedroom kuwa en-suite ni muhimu na chumba cha wageni. Hivi viwili vinapendezs kutumia choo na bafu ya familia.
 
Nyumba inauzwa ipo mbweni Jkt, vyumba 4 vyote self, na pia kuna nyumba ndogo kwa ajili ya wafanyakazi nk
Nyumba bado ni mpya kabisa na ukinunua unakabidhiwa ikiwa imekamilika kila kitu

Uwanja una ukubwa wa 1200sqm

Bei 550m

Maongezi zaidi 0756060183
 
Back
Top Bottom