Nyumba ya Jackline Mengi yakumbwa na mafuriko

Jacky ameshazoea mafuriko huyo tangu yule mzee yupo walifurikwa hivyo hivyo anatakiwa kuhama aende kwenye nyumba nyingine yule mzee hawezi kuwa ameacha nyumba hiyo hiyo inayogeuka bwawa la samaki nyakati za mvua. Pole sana kwake ajiongeze tu ili ajiepushe kuchezea tope 😜 Kama vipi aje buza nimpe kaplot 😂😂😂
 

Wakati maji yanajaa alikuwa wapi
 
Maisha gani sasa hayo?[emoji848][emoji848]

Full kujistukia, wanawake tujifunze kumiliki mali zetu mweeh!

Kwa sasa mume wake hayupo na ikumbukwe mume wake alikua na mafanikio sana , so ni rahisi sana watu kum attack, ooh vitu vya marehemu havipo, jacky kauza, hiyo video it’s saved for another day, mtakuja kuona why alifanya hivyo


Jacky ana drive Range Rover ila ako na vita kubwa sana , familia , michepuko ya marehemu , na marafiki wa marehemu pia, so lazima awe Makini , marehemu Alikua mtu wa watu
 

Tena sio ordinary Star , ni Star first class , na ako na pesa na anaweza lisha familia yako Mwaka mzima. Have a good day
 
Kwa wachaga mambo ya urithi Kuwa care asije tembea na ndala
 
Hakukuwa na ulazima wowote wa kupost mitandaoni kutujulisha kwamba amekumbwa na mafuriko, pamoja na exposure aliyonayo bado anakuwa na tabia za kishamba hivyooo
Usimpangie maisha.

Hajavunja sheria yoyote.

Amejionesha na yeye ni mtu kama wengine na ana vulnerability.

Ameamua kujishusha badala ya kujikweza.

Ameonesha tatizo lake, labda atapata msaada.

Amekuwa muwazi badala ya msiri. Kumbuka mficha maradhi mauti humfichua.

Marehemu Mengi ana kumbukumbu za hazina ya taifa. Kesho keshokutwa akiulizwa kumbukumbu fulani iko wapi, ikawa imepotea au kuharibika,anaweza kuwa na jibu la kueleweka zaidi kama ameanza kwa uwazi tangu mwanzo.

Si lazima kuangalia. Hajakulazimisha.

Ni human nature kutafuta kuhurumiwa tunapopata matatizo. Yani unataka kumnyima hata pole zake wakati huu wa matatizo? Uchoyo gani huo?

Ametuonesha hata matajiri wanapatwa na matatizo. Pesa haimalizi matatizo yote. Hili ni funzo muhimu.
 
Hakukuwa na ulazima wowote wa kupost mitandaoni kutujulisha kwamba amekumbwa na mafuriko, pamoja na exposure aliyonayo bado anakuwa na tabia za kishamba hivyooo
It might have been staged , ili alipwe na insurance ndio maana amewahi social media kutafuta huruma

Raisi tu wanaweza kutoboa somewhere Maji yaingie. Then alipwe na hivi kafulia ndio kabisa anapigia hesabu hela ya insurance 😂😂
 

Hataki kuishi kwenye Apartment anataka Kuishi kwenye Mansion ili ale vizuri hela za insurance na wanazengo wasimcheke akiama pale
 
It might have been staged , ili alipwe na insurance ndio maana amewahi social media kutafuta huruma

Raisi tu wanaweza kutoboa somewhere Maji yaingie. Then alipwe

I don’t think so , mind you vitu vya marehem pia vimeharibika na mafuriko of which anasema ni kumbu kumbu muhimu kwao as family so point yako siipi nguvu sana

Yet she ain’t broke to such extent ya ku stage floods that’s a big no
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…