Nyumba ya Jackline Mengi yakumbwa na mafuriko

Nyumba ya Jackline Mengi yakumbwa na mafuriko

alishe familia nzima kwa child support ya usd 2000 kwa mwezi 😂😂😂😂😂hacha kutudanganyA wewe tunaijua hiyo familia vizuri kabisa

eti ako na pesa kwa Mradi upo alionao? Yeye asubili case iishie anaweza akapata kidogo anacho deserve

Usd 2000 kwa mwezi ni milioni 5 kasoro... je wewe kwenu mnakula bei gani kwa mwezi?
 
alishe familia nzima kwa child support ya usd 2000 kwa mwezi 😂😂😂😂😂hacha kutudanganyA wewe tunaijua hiyo familia vizuri kabisa

eti ako na pesa kwa Mradi upo alionao? Yeye asubili case iishie anaweza akapata kidogo anacho deserve
Kwahiyo kwa USD 5000 kwa mwezi anashindwa lisha familia yako?? Halafu chengine..HV insurance wanalipa natural disasters au ndo uwezo wangu mdogo wa kufikiri
 
Mke wa mengi alishafariki na waliachana na mumewe na nadhan waligawana kila kitu 50/50, kwa nini msikubali ukweli ya kwamba k-Lynn ndiye mke wa the late mengi na ana haki zote kama mke

Kama mengi alimuoa kama mke wake sisi ni. Nani Jaman tumpinge, ifike mahali tusijifanye tunajua sana familia za watu

Kama mali zingekua hazimuhusu kwenye nyumba ya marehemu anafanya nini?

Tukumbuke Jacky was a wife to Mengi not a concubine, hakua danga she was a formal wife

Shida wanawake wengi wanamuonea wivu k lyn..

Wanasahau k lyn kaolewa na mengi ki halali kabisa... na wakati mengi anamtongoza k lyn alikuwa mengi ni bachelor tayari ndoa imeshavunjika zamani... k lyn hajamuibia mtu mume..

Na pia kama k lyn hana haki...pale nyumba ya mengi kwa nini anaishi hajatimuliwa?
 
Kwahiyo kwa USD 5000 kwa mwezi anashindwa lisha familia yako?? Halafu chengine..HV insurance wanalipa natural disasters au ndo uwezo wangu mdogo wa kufikiri

Insurance hazilipi natural dissaster... navyojua mimi
 
Mjasiriamali na mwanamitindo maarufu, ambaye pia ni mjane wa aliyekua mfanyabiashara maarufu , the late Reginald mengi , Kupitia ukurasa wake wa Instagram , ame share video inayoonyesha mafuriko jinsi yalivyoikumba nyumba yake na kusambaratisha kila kitu .

Mwanamama huyo kwa masikitiko makubwa amasema mvua hyo imeharibu baadhi ya vitu ambavyo vilikua ni kumbu kumbu muhimu ya marehem mume wake.


View attachment 1606366
mume wakeView attachment 1606367
nayo ni habari!
 
Kwahiyo kwa USD 5000 kwa mwezi anashindwa lisha familia yako?? Halafu chengine..HV insurance wanalipa natural disasters au ndo uwezo wangu mdogo wa kufikiri
Umeambiwa USD 2,000. Hiyo 5,000 sijui ulisikia wapi
 
Labda kama haijalipiwa insurance.. ila k kyn ana watoto wa mengi pia... na pale ni amepewa aishi na watoto wake.. unazani nani ana uwezo wa kuzuia bima wasilipie uharibifu ambao mkataba wao wanapaswa ku cover..

Tatizo wabongo wivu unatusumbua... k lyn ni mke halali wa mengi ana watoto wawili wa mengi.. hiyo tu inampa haki zote za kuhudumiwa na hao ipp directors...

Maskini hatuendelei kwa kuchukia matajiri...k lyn ni mjane wa tajiri .. kwa hiyo ana haki ya kuhudumiwa kivyovyote vile.. na wale watoto wa k lyn ndio maana wanasomeshwa IST na wakiwa wakubwa watapewa nafasi kwenye kampuni za baba yao..

K lyn hata iweje hawezi kuishi maisha ya sisi wa kutegemea mishahara mpaka kufa kwake.. k lyn hawezi kufikia level ya kupanda dala dala...labda atake mwenyewe kama lowassa alivyopanda mwaka 2015

Thank you, lazima tu ukweli waumeze watake wasitake, jack mengi ni mjane wa millionaire na still anaendelea kula pesa za mume wake,she is living a life

Hayo mambo ya kujifanya tunajua sana sheria na mambo ya insurance hayatusaidii, jacky kaula bhana[emoji16][emoji16], yani kwa hilo tukubali tukatae haisaidii [emoji16][emoji16]
 
Shida wanawake wengi wanamuonea wivu k lyn..

Wanasahau k lyn kaolewa na mengi ki halali kabisa... na wakati mengi anamtongoza k lyn alikuwa mengi ni bachelor tayari ndoa imeshavunjika zamani... k lyn hajamuibia mtu mume..

Na pia kama k lyn hana haki...pale nyumba ya mengi kwa nini anaishi hajatimuliwa?

That’s a point, Kwenye ule mhelalu anafanya nini?? Kama sio mke au kama hausiki, aliyepewa kapewa bhana, halafu klyn mbona hanaga maringo Jaman c wamuache tu, kuna mtu najua angekua kwenye position ya k-Lynn tungejuta, ila dada watu mbona hanaga madharau wala habar na mtu

Yule ana uhakika na maisha hat akiamua kulala maisha yake yote, sasa nyie kazaneni kuroga na nyie muolewe na ma millionaire sio kukimbilia kubeba mimba[emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo kwa USD 5000 kwa mwezi anashindwa lisha familia yako?? Halafu chengine..HV insurance wanalipa natural disasters au ndo uwezo wangu mdogo wa kufikiri

soma vizuri ni usd 2000= 4,600,000/TZS hiyo usd 2000 ni hela ya matumizi ya yumbani kula, wafanyakazi , na vitu vingine

kiatu tu anavaa cha million 40 Hiyo usd 2000 ndio akalishe familia yangu halafu familia yake watoto , dada yake , na Mashoga zake watakula nini kwa taarifa yako watoto wake wanasoma same school with my child (IST )mimi sio maskini mwenzio nimekuacha mbali sana
 
Shida wanawake wengi wanamuonea wivu k lyn..

Wanasahau k lyn kaolewa na mengi ki halali kabisa... na wakati mengi anamtongoza k lyn alikuwa mengi ni bachelor tayari ndoa imeshavunjika zamani... k lyn hajamuibia mtu mume..

Na pia kama k lyn hana haki...pale nyumba ya mengi kwa nini anaishi hajatimuliwa?
Kuishi na kumiliki kitu chenye jina lako ni vitu viwili tofauti

anagekua anapendwa sana angenunuliwa mansion Masaki akaishi huko akaachana na mafuriko Na akatoka kwenye nyumba ambayo michepuko wenzie waliishi

hakuna mtu anaemuonea wivu tapeli na international mdangaji
 
soma vizuri ni usd 2000= 4,600,000/TZS hiyo usd 2000 ni hela ya matumizi ya yumbani kula, wafanyakazi , na vitu vingine

kiatu tu anavaa cha million 40 Hiyo usd 2000 ndio akalishe familia yangu halafu familia yake watoto , dada yake , na Mashoga zake watakula nini kwa taarifa yako watoto wake wanasoma same school with my child (IST )mimi sio maskini mwenzio nimekuacha mbali sana

Ahaah Hongera kwa kupambana na umaskini, nauchukia sana umaskini

Lakini pia jacky kajitahid kupiga hatua kimaisha, why umchukie tajir mwenzio Jaman , mi najua Tajir hawez kumchukia mtu aliyemzid maisha
 
Kuishi na kumiliki kitu chenye jina lako ni vitu viwili tofauti

anagekua anapendwa sana angenunuliwa mansion Masaki akaishi huko akaachana na mafuriko Na akitoka kwenye nyumba ambayo michepuko wenzie waliishi

hakuna mtu anaemuonea wivu tapeli na international mdangaji

Alikua mdangaji lakini sasa hivi TITTLE imebadilika, ni mjane wa millionaire , au binamu hujui kama jacky aliolewa? Na ana haki zote kama mke
 
Ahaah Hongera kwa kupambana na umaskini, nauchukia sana umaskini

Lakini pia jacky kajitahid kupiga hatua kimaisha, why umchukie tajir mwenzio Jaman , mi najua Tajir hawez kumchukia mtu aliyemzid maisha

Huyu sio tajiri huyu ni tapeli anatumia K kufanya utapeli

atafute zake za kuweza kupanda business class tu na kulipia watoto school fees tumpe credits

sio business class za kulipiwa na IPP twice a year atoe mfukoni kwake afungue miradi kwa jasho lake tumsifie

sio atapeli mali zote alizokuta
 
Huyu sio tajiri huyu ni tapeli anatumia K kufanya utapeli

atafute zake za kuweza kupanda business class tu na kulipia watoto school fees tumpe credits

sio business class za kulipiwa na IPP twice a year atoe mfukoni kwake afungue miradi kwa jasho lake tumsifie

sio atapeli mali zote alizokuta

Aliolewa, kama mke nadhani ana haki ya kutumia mali za mumewe, that’s a law ya katiba na nature.

Mwanaume kaumbwa kumtunza na kumlisha mwanamke, hiyo ni kawaida binamu hajavunja sheria
 
soma vizuri ni usd 2000= 4,600,000/TZS hiyo usd 2000 ni hela ya matumizi ya yumbani kula, wafanyakazi , na vitu vingine

kiatu tu anavaa cha million 40 Hiyo usd 2000 ndio akalishe familia yangu halafu familia yake watoto , dada yake , na Mashoga zake watakula nini kwa taarifa yako watoto wake wanasoma same school with my child (IST )mimi sio maskini mwenzio nimekuacha mbali sana
Ah ah sasa huyu ndo typical mtanzania mama hivi we ukisema unaela MO aseme Ana nini ah ah shida Sana.....we na Jacky wote gold diggers ukute mshachukuliana wanaume basi beef mtindo mmoja...halafu wenzio wenye Ela wananunua nyumba Manhattan na kusomesha watoto ivy league sio hizi shule za kibongo
 
Back
Top Bottom