Nyumba ya Jackline Mengi yakumbwa na mafuriko

Nyumba ya Jackline Mengi yakumbwa na mafuriko

Ah ah sasa huyu ndo typical mtanzania mama hivi we ukisema unaela MO aseme Ana nini ah ah shida Sana.....we na Jacky wote gold diggers ukute mshachukuliana wanaume basi beef mtindo mmoja...halafu wenzio wenye Ela wananunua nyumba Manhattan na kusomesha watoto ivy league sio hizi shule za kibongo

Akafanye nini Ivy League mtoto wa Miaka 6, sina hela lakini Nina uwezo wa kusomesha mtoto shule yoyote Africa na ulaya niitakayo bila kutegemea urithi wala digging for gold

nyinyi ndio wale wazazi mnaotuongezea wakina James delicious mtaani kwa Kua unajiona una hela Basi mtoto ukamtupe ulaya at a very young age bila kusimamia malezi yake kwa macho yako, Huruma kwa kweli
 
Kama ni staa kwako usidhani kuwa kila mtu anamuona hivyo; watu wana mambo ya muhimu kufanya kuliko kumfikiria huyo mwanamke!!
Hapo wanawake mjifunze ukweli kuwa bila kuwepo mwanaume hamtoboi; alipokuwepo mwenyewe mbona hayo mafuriko hayakuingia ndani?
Jamaa una hasira, sasa si ungeacha kufuatilia uzi unaokuudhi?.
 
Kwanini tycoon late Mengi akajenga hapo?
Maji hayana adabu ,nashangaa MOGUL Le Bilionea Le Grande Mupao kaenda kujenga kwenye njia ya maji(MIKEKENJA) ,Kuna viwanja vizuri hata mvua inyeshe mwaka mzima hapajai maji lakini hakuenda kujenga!! Hawa mabilionea huwa wananishangaza sana!! Utakuta bilionea ameenda kujenga kwenye ukingo wa mto halafu amepiga mansion ya hatari,hatambui kwamba mto unaliwa na maji kila siku.
 
Maji hayana adabu ,nashangaa MOGUL Le Bilionea Le Grande Mupao kaenda kujenga kwenye njia ya maji(MIKEKENJA) ,Kuna viwanja vizuri hata mvua inyeshe mwaka mzima hapajai maji lakini hakuenda kujenga!! Hawa mabilionea huwa wananishangaza sana!! Utakuta bilionea ameenda kujenga kwenye ukingo wa mto halafu amepiga mansion ya hatari,hatambui kwamba mto unaliwa na maji kila siku.
Mopao huyu huyu mokonzi?

Baba Didi Olomide? Eti?[emoji849][emoji849][emoji849]
 
alishe familia nzima kwa child support ya usd 2000 kwa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hacha kutudanganyA wewe tunaijua hiyo familia vizuri kabisa

eti ako na pesa kwa Mradi upo alionao? Yeye asubili case iishie anaweza akapata kidogo anacho deserve
Anapata 2000$? Per month

Asee kashuka sana mweeh
 
soma vizuri ni usd 2000= 4,600,000/TZS hiyo usd 2000 ni hela ya matumizi ya yumbani kula, wafanyakazi , na vitu vingine

kiatu tu anavaa cha million 40 Hiyo usd 2000 ndio akalishe familia yangu halafu familia yake watoto , dada yake , na Mashoga zake watakula nini kwa taarifa yako watoto wake wanasoma same school with my child (IST )mimi sio maskini mwenzio nimekuacha mbali sana
[emoji16][emoji16][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Huyu sio tajiri huyu ni tapeli anatumia K kufanya utapeli

atafute zake za kuweza kupanda business class tu na kulipia watoto school fees tumpe credits

sio business class za kulipiwa na IPP twice a year atoe mfukoni kwake afungue miradi kwa jasho lake tumsifie
Hivi tangia Mzee afariki Jacky ameshawahi kupanda ndege akaenda hata Kenya hapo??
 
Kuishi na kumiliki kitu chenye jina lako ni vitu viwili tofauti

anagekua anapendwa sana angenunuliwa mansion Masaki akaishi huko akaachana na mafuriko Na akatoka kwenye nyumba ambayo michepuko wenzie waliishi

hakuna mtu anaemuonea wivu tapeli na international mdangaji
Hivi alikwamaga wapi kkyin kujenga nyumba kwa jina lake aisee, matokeo anateseka kijinga
 
Shida wanawake wengi wanamuonea wivu k lyn..

Wanasahau k lyn kaolewa na mengi ki halali kabisa... na wakati mengi anamtongoza k lyn alikuwa mengi ni bachelor tayari ndoa imeshavunjika zamani... k lyn hajamuibia mtu mume..

Na pia kama k lyn hana haki...pale nyumba ya mengi kwa nini anaishi hajatimuliwa?
Mimi ni mwanamke na simuonei wivu huyo klyin so usipende ku generalize mambo
 
Labda kama haijalipiwa insurance.. ila k kyn ana watoto wa mengi pia... na pale ni amepewa aishi na watoto wake.. unazani nani ana uwezo wa kuzuia bima wasilipie uharibifu ambao mkataba wao wanapaswa ku cover..

Tatizo wabongo wivu unatusumbua... k lyn ni mke halali wa mengi ana watoto wawili wa mengi.. hiyo tu inampa haki zote za kuhudumiwa na hao ipp directors...

Maskini hatuendelei kwa kuchukia matajiri...k lyn ni mjane wa tajiri .. kwa hiyo ana haki ya kuhudumiwa kivyovyote vile.. na wale watoto wa k lyn ndio maana wanasomeshwa IST na wakiwa wakubwa watapewa nafasi kwenye kampuni za baba yao..

K lyn hata iweje hawezi kuishi maisha ya sisi wa kutegemea mishahara mpaka kufa kwake.. k lyn hawezi kufikia level ya kupanda dala dala...labda atake mwenyewe kama lowassa alivyopanda mwaka 2015
Kupanda daladala sio kosa au dhambi mbona
 
Back
Top Bottom