Milioni kwa mwezi ni kubwa sana
kwangu mm 600kx6 ni kubwa sana mkuu sijui kwa wengine
jamaa kakuona mpuuzi kakupuuza hata hajakujibu,,
Hata chanika nyumba ikijengwa vizuri inaeza fika Kodi ya laki 6
Poa tu kwani kuna shida ni nini? Na Kodi ya nyumba ikiwa hata milioni 3 per month..
Chanika max ni 200,000-250,000Hata chanika nyumba ikijengwa vizuri inaeza fika Kodi ya laki 6
Sema amna nyumba pia classicChanika max ni 200,000-250,000
Kweli mkuu wazaramo wengi hawawezi ujenzi nyumba classic + waswahili weengi sanaSema amna nyumba pia classic
SureKweli mkuu wazaramo wengi hawawezi ujenzi nyumba classic + waswahili weengi sana