House4Rent Nyumba ya kisasa inapangishwa, Tabata (Kinyerezi)

House4Rent Nyumba ya kisasa inapangishwa, Tabata (Kinyerezi)

img-20190127-wa0058-jpeg.1006015
kwani na hiki kipande au hii ya mwisho nayo ni moja nahizo zingine|?
 
Halafu dalali nayeye anataka 600k.dah aise hii dar bwana kufa kufaana.

Hajui lori ngapi za mchanga zimekufa hapo.

Hajui mpangaji kapata vipi hiyo hela,ila kuwakutanisha tu imekuwa tabu.
Ingekua kwa wenzetu, hii ni challenge na ingefanywa kuwa fursa
 
Muafaka kabisa,huko ukihamia miguu ya kuku miwili itapendeza
 
Kinyerezi kwa hiyo bei bado ni kubwa sana.....Nazani kwa upande wangu kwa nyumba kama hiyo huko kinyerezi kodi ya 350000 ni very Reasonable kuliko hiyo anayo taka mwenye jengo lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom