Nyumba ya kununua inahitajika

Nyumba ya kununua inahitajika

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,074
Reaction score
308
Nyumba ya kununua inahitajika iwe self contained 3 bedrooms, 1 master and 2 bedrooms.
Plus jiko, store, dining and sitting room.
Iwe na uwanja kutosha kupaki magari matatu
Iwe na maji na umeme
Iwe na HATI MILIKI. Iwe Tabata, Mwananyamala, Bunju, au sehemu nyingine mjini.
Bajeti isizidi 70mil mawasiliano 0717 114409
 
Nyumba ya kununua inahitajika iwe self contained 3 bedrooms, 1 master and 2 bedrooms.
Plus jiko, store, dining and sitting room.
Iwe na uwanja kutosha kupaki magari matatu
Iwe na maji na umeme
Iwe na HATI MILIKI. Iwe Tabata, Mwananyamala, Bunju, au sehemu nyingine mjini.
Bajeti isizidi 70mil mawasiliano 0717 114409

Kwa specifications ulizotoa, huwezi kuipata hiyo nyumba kwa bei ya 70 mil
 
Huyo mteja atakusumbua sana Kitomai! Kwa bajeti yake hiyo na specifications alizotoa si ajabu anataka ready to move in home! parking ya magari matatu? Bajet hizo mara nying gari watu wanapaki CCM ama petrol station, the plot should be high density kama Sinza, ukitoka getini ukanyoosha mguu unagusa next entrance door to main house! Na wasiwasi atahitaji iwe na gypsum ceiling board! Kazi kweli kweli!
 
Back
Top Bottom