Nyumba ya kupanga sinza/ubungo shekilango

Nyumba ya kupanga sinza/ubungo shekilango

bank

Senior Member
Joined
Jan 9, 2011
Posts
158
Reaction score
24
Wandugu nahitaji vyumba viwili na sebule iwe masters ktk maeneo hayo hap[o juu,na ikiwa na kajiko itapendeza zaidi.bei isizidi 200,000/= kwa mwezi.hata kama unajua ambayo itakuwepo baada ya mwezi hivi tafadhali naomba unitaarifu.
Kwa yeyote anayejua tafadhali nijulishe.

Asanteni sana kwa msaada wenu na poleni kwa usumbufu.
 
Tutakuambia hapa ndo kwenyewe vuta subira mkuu
 
nashukuru wadau nitaendelea kusuburi

nina hela ila sio nyingi ningekugawia endelea kuvuta subira
 
Back
Top Bottom