Outlier
JF-Expert Member
- Dec 28, 2008
- 323
- 18
WanaJF,
Ninahitaji nyumba ya kupanga jijini Dar.
Maeneo:
Kinondoni, Sinza, Magomeni, Kijitonyama, Mwananyamala, Mwenge
Niko tayari kulipa at most TZS 300,000/= kwa mwezi.
Muda:
As early as possible, hata kesho - nikiipenda.
Mahitaji ya muhimu:
Isiwe ya ku-share na wapangaji wengine; iwe na maji, umeme, na kama ina parking itakuwa bora zaidi.
Asanteni,
Mawasiliano yangu:
1) JF PM
2) outlier.mm@gmail.com
3) +1 240 949 2677
Ninahitaji nyumba ya kupanga jijini Dar.
Maeneo:
Kinondoni, Sinza, Magomeni, Kijitonyama, Mwananyamala, Mwenge
Niko tayari kulipa at most TZS 300,000/= kwa mwezi.
Muda:
As early as possible, hata kesho - nikiipenda.
Mahitaji ya muhimu:
Isiwe ya ku-share na wapangaji wengine; iwe na maji, umeme, na kama ina parking itakuwa bora zaidi.
Asanteni,
Mawasiliano yangu:
1) JF PM
2) outlier.mm@gmail.com
3) +1 240 949 2677