Nyumba ya kupanga Zanzibar mjini

Nyumba ya kupanga Zanzibar mjini

jerrytz

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
5,975
Reaction score
4,266
wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu,

Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa sita.

Natafuta Nyumba ya kupanga 2 Bedrooms ikiwa master room ni vyema zaidi, Sitting room na jiko.

Kama itakuwa ngumu kupata basi walau 1 master bedroom, sitting room na jiko.

Ningependa maeneo ya Stone Town, Malindi, Mlandege na Vikokotoni kwa kifupi Wilaya ya Mjini

Mwenye taarifa tafadhali ni PM......

Naomba kuwasilisha
 
Angalia hiyo kama itakufaa ila iko maeneo ya Fuoni,
1.Sitting room
2.Dining
3.2bed rooms
4.Master bedrooms 1
5.jiko,store,parking kwa gari ndogo.
Bei Tsh 100,000/= kwa mwezi
 

Attachments

  • HS-1.jpg
    HS-1.jpg
    35.9 KB · Views: 753
  • Hs-2.jpg
    Hs-2.jpg
    49.6 KB · Views: 719
  • Hs-3.jpg
    Hs-3.jpg
    53.5 KB · Views: 652
Angalia hiyo kama itakufaa ila iko maeneo ya Fuoni,
1.Sitting room
2.Dining
3.2bed rooms
4.Master bedrooms 1
5.jiko,store,parking kwa gari ndogo.
Bei Tsh 100,000/= kwa mwezi

Asante mkuu, nyumba ni nzuri na bei pia ni nzuri ngoja nione kama nikikosa ya mjini nitafanya consideration ya hiyo offer. Nitakucheki pm.
 
Angalia hiyo kama itakufaa ila iko maeneo ya Fuoni,
1.Sitting room
2.Dining
3.2bed rooms
4.Master bedrooms 1
5.jiko,store,parking kwa gari ndogo.
Bei Tsh 100,000/= kwa mwezi

Tsh 100,000 kumbe Zenj maisha ni rahisi kiasi hicho?
 
Angalia hiyo kama itakufaa ila iko maeneo ya Fuoni,
1.Sitting room
2.Dining
3.2bed rooms
4.Master bedrooms 1
5.jiko,store,parking kwa gari ndogo.
Bei Tsh 100,000/= kwa mwezi

Hiyo nyumba bado ipo available kama ndio ningependa kuja kuiona na kuipanga
 
Mkuu wewe ulisema utakuwa kikazi mwezi wa sita leo wa kumi vipi.
Au umefukuzwa nyumba ya mwanzo.
Sidhani kama utaikuta nyumba hiyo kwa bei ile,maana madalali kibao.
Sema unataka maeneo mengine gani kama haipo nikuunganishe na Dalalii sasa hivi muanze kuzuunga
 
Mimi nilishapata Michenzani, huyu ni mwingine.

Mkuu wewe ulisema utakuwa kikazi mwezi wa sita leo wa kumi vipi.
Au umefukuzwa nyumba ya mwanzo.
Sidhani kama utaikuta nyumba hiyo kwa bei ile,maana madalali kibao.
Sema unataka maeneo mengine gani kama haipo nikuunganishe na Dalalii sasa hivi muanze kuzuunga
 
Mimi nilishapata Michenzani, huyu ni mwingine.
Alaa,aisee michenzani kama vitundu vya njiwa,si mind nyumba hizo?
Ngoja jamaa atakuja kama nyumba bado ipo atakupa mjengo .
Mbona hapo michenzani kibarazani madalali kibao,ukitaka nyumba hata leo wanakutafutia
 
Mkuu wewe ulisema utakuwa kikazi mwezi wa sita leo wa kumi vipi.
Au umefukuzwa nyumba ya mwanzo.
Sidhani kama utaikuta nyumba hiyo kwa bei ile,maana madalali kibao.
Sema unataka maeneo mengine gani kama haipo nikuunganishe na Dalalii sasa hivi muanze kuzuunga

post date: 29th May 2014 11:40
 
Mkuu wewe ulisema utakuwa kikazi mwezi wa sita leo wa kumi vipi.
Au umefukuzwa nyumba ya mwanzo.
Sidhani kama utaikuta nyumba hiyo kwa bei ile,maana madalali kibao.
Sema unataka maeneo mengine gani kama haipo nikuunganishe na Dalalii sasa hivi muanze kuzuunga

Nadhani umekosea mimi ni mwingine nahitaji nyumba Zanzibar unaweza kunisaidia
 
Nadhani umekosea mimi ni mwingine nahitaji nyumba Zanzibar unaweza kunisaidia
Ok,Mkuu unajua nimepiga Viroba vya chukuchuku.

Mie kukusaidia kwangu ni kukupa Number ya Dalali,
Jamaa yupo vizuri,ni wewe tu kuandaa usafiri akupeleka sehem zote.
Na unajua Madalali wa Unguja sio kama wa Dar,hawacharge site inspection,ukpata nyumba unampa chake na wala sio kiasi maalum,chochote tu wao wanapokea.
Haya sema
 
hizi flats kwako ni kama Vitundu vya Njiwa?!

2 Bedrooms kubwa 6.5 x 3.8 mtrs , Jiko , Sitting room 3.5 x 9mtrs ,Jiko 2.5 x 3.2 mtrs, Store na Toilet .....

Naona wewe unahitaji nyumba kama Uwanja wa mpira....

Alaa,aisee michenzani kama vitundu vya njiwa,si mind nyumba hizo?
Ngoja jamaa atakuja kama nyumba bado ipo atakupa mjengo .
Mbona hapo michenzani kibarazani madalali kibao,ukitaka nyumba hata leo wanakutafutia
 
Ok,Mkuu unajua nimepiga Viroba vya chukuchuku.

Mie kukusaidia kwangu ni kukupa Number ya Dalali,
Jamaa yupo vizuri,ni wewe tu kuandaa usafiri akupeleka sehem zote.
Na unajua Madalali wa Unguja sio kama wa Dar,hawacharge site inspection,ukpata nyumba unampa chake na wala sio kiasi maalum,chochote tu wao wanapokea.
Haya sema

Nitashukuru kama utanipa namba ya dalali niongee nae
 
Hay mpigie huyu .
Anaitwa Omar(Mzee Omar),ni age inatoka ujana inakwenda uzeeni,ila ni mtu safi sana utakuja kuniambia.
Labda wewe mwenye uwe mtata kutaka makubwa wakati mfuko mdogo.
0773536763
Huyu mambo ya JF hayajui,sasa ukimuambia nimepewa number yako na mtu kwenye JF atakuuliza ndio mkoa gani huo.
Hata Computer hajui kutumia.
Au kama upo Karibu na Maeneo ya kwa Mchina Mwanzo ,basi ukiulizia pale Shule ya SHAH upande wa pili chini ya mwembe basi utampata,ila muda mwingi anakuwa yupo Busy,unaweza kukuta watu wakakuambia ameishakufa ili kazi uwape wao.

Haya kazi kwako
 
Angalia hiyo kama itakufaa ila iko maeneo ya Fuoni,
1.Sitting room
2.Dining
3.2bed rooms
4.Master bedrooms 1
5.jiko,store,parking kwa gari ndogo.
Bei Tsh 100,000/= kwa mwezi

Ana zari kweli, kama ataiwacha hio nyumba, kawaida zanzibar nyumba ni laki tatu na nusu kama hio. It's beautiful.
 
Hay mpigie huyu .
Anaitwa Omar(Mzee Omar),ni age inatoka ujana inakwenda uzeeni,ila ni mtu safi sana utakuja kuniambia.
Labda wewe mwenye uwe mtata kutaka makubwa wakati mfuko mdogo.
0773536763
Huyu mambo ya JF hayajui,sasa ukimuambia nimepewa number yako na mtu kwenye JF atakuuliza ndio mkoa gani huo.
Hata Computer hajui kutumia.
Au kama upo Karibu na Maeneo ya kwa Mchina Mwanzo ,basi ukiulizia pale Shule ya SHAH upande wa pili chini ya mwembe basi utampata,ila muda mwingi anakuwa yupo Busy,unaweza kukuta watu wakakuambia ameishakufa ili kazi uwape wao.

Haya kazi kwako

Asante sana kwa namba nitampigia niongee nae. Nakushukuru sana.
 
Angalia hiyo kama itakufaa ila iko maeneo ya Fuoni,
1.Sitting room
2.Dining
3.2bed rooms
4.Master bedrooms 1
5.jiko,store,parking kwa gari ndogo.
Bei Tsh 100,000/= kwa mwezi

Duu bei rahisi sana aisee kwa Sinza ni chumba kimoja masters au bila masters
 
Back
Top Bottom