mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,904
- 8,371
Tsh 100,000 kumbe Zenj maisha ni rahisi kiasi hicho?
Hata mie nimeachwa mdomo wazi kumbe Zenj life ni poa kiasi hicho huku hata Kibaha kwa Mathiasi hupati hiyo bei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tsh 100,000 kumbe Zenj maisha ni rahisi kiasi hicho?
Nahitaji nambaOk,Mkuu unajua nimepiga Viroba vya chukuchuku.
Mie kukusaidia kwangu ni kukupa Number ya Dalali,
Jamaa yupo vizuri,ni wewe tu kuandaa usafiri akupeleka sehem zote.
Na unajua Madalali wa Unguja sio kama wa Dar,hawacharge site inspection,ukpata nyumba unampa chake na wala sio kiasi maalum,chochote tu wao wanapokea.
Haya sema