Ok,Mkuu unajua nimepiga Viroba vya chukuchuku.
Mie kukusaidia kwangu ni kukupa Number ya Dalali,
Jamaa yupo vizuri,ni wewe tu kuandaa usafiri akupeleka sehem zote.
Na unajua Madalali wa Unguja sio kama wa Dar,hawacharge site inspection,ukpata nyumba unampa chake na wala sio kiasi maalum,chochote tu wao wanapokea.
Haya sema