hahaaaaaaaaaaaaaaaaa umeona anakomajeeeeeeeeenna wasiwasi jamaa anapiga sana punka akati akisikia hizo sauti
Jamani wakuu mwenzenu nimechoka na hii nyumba,yaani kuna jamaa wa chumba cha pili ikifika mida fulani usiku wakati wanakula tunda wanaanza mikelele nyumba yenyewe haina dari, sijui nfanyeje
Mchango wenu wadau!