Nyumba ya Kupanga

Nyumba ya Kupanga

Rich Dad

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
748
Reaction score
135
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kijitonyama au sinza. Iwe 2 bedrooms, 1 sitting room, bei Tshs 150,000 kwa mwezi na kwa kuanzia malipo ya miezi 6 yatalipwa. kama unayo tafadhali nijulishe.
 
Back
Top Bottom