Nyumba ya Maajabu Masaki!

Polisi waliweka nyumba chini ya upelelezi kwa muda wote huo na hawakufanikiwa kubaini chochote. Mwandishi umejuaje majambazi waliua,wakamwagia miili acid,wakaizika kwenye shimo?una mawasiliano na wauaji?
 
Wasukuma banaaaaaa

Acheni maimani
 
Jamaa unajua kusimulia,bravo[emoji119]
 
Masaki ya kisarawe hiyo,yaani milio ya risasi isisikike masaki
Ahaaaa nimestuka nilitaka nimpigie mama nimuulize haya yalitokea mwaka gani? Maana mama anatusimulia alianza kuishi masaki pakiwa poli hakueleweki mpaka muda huu yupo asinge kosa kujua kastory haka ahaaaaaa kumbe chai imeungwa na pilipili😂😂

N.b mlozaliwa masaki mko humu tunasubiri ushuhuda.
 
Nani alikuwa akilipia LUKU au alikuwa anatumia SOLA? Alitoka na familia yake, mbona aliporudi haioneshi alirudi na familia yake? Hebu kaiangalie tena muvi kisha urudi umejipanga vizuri ili uongo uwe ukweli bila shaka yoyote.
Muvi za Naijeria bana!
Ungesema movie za kibongo ningekuelewa. Vinginevyo we ni mdogo hujaangalia movie za kinigeria enzi za akina Ramos, Genevieve,pastor Ken na wengine wengi miaka ya 90,2000 hapo. Au katafute INTIMAITE STRANGE,TRUE LOVE. PAIN OF LOVE na zingine nyingi enzi hizo. Wanaigeria wako serious. Sio hizi za kibongo anatunga leo kesho imetoka. Yeye mwenyewe staring, editor,producer n.k
 
Oya unazingua hii story umeisoma wap[emoji848]
 
"IKIWA KAMA WOTE WALIFARIKI JE IYO TAARIFA YA IYO SCENE YAO IMETOLEWA NA NANI AU SITTING ROOM ILIKUWA NA CCTV"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…