Nyumba ya marehemu Gurumo "for sale"

Nyumba ya marehemu Gurumo "for sale"

"Tunatoana roho yarabiii iii,,, kwa mali aliyoacha baba ahaaaaa"x2 Ngurumo alikuwa genius sema siifahamu vizuri hii nyimbo... hebu ongeza mistari mingine kama unaifahamu!

Mali ya baba inatutoa roho,bora nikae pembeni.Niinusuru roho yangu mimi.
 
Duh... kweli aisee... kwahiyo hao washikaji inaelekea wote wamekaza hakuna anayetaka kukaa pembeni!

Ndio maana yake,kila mtu jicho limemtoka kwenye hiyo mali.Hapo wataambulia kimilioni 1.5 kila mtu na hiyo hela zitaishia kwenye ngoma tu.
 
Binadam siku hizi hawana .....
Wakisikia mwenye mali mahututi
Utakuta wanaanza kuuza mali
Hata watoto wake wanaanza kuadhilika. By gurumo.
 
Binadam siku hizi hawana .....
Wakisikia mwenye mali mahututi
Utakuta wanaanza kuuza mali
Hata watoto wake wanaanza kuadhilika. By gurumo.

Nadhani kwa kupitia ubeti huu ndo maana watoto wameamua kuuza fasta ili ndugu wasiwawahi
 
Wadau GTs, hapa najifunza kuwa ukipata bahati ya kuugua na kuona dalili za kutoishi maisha marefu ni vizuri kuweka mambo ya nyumbani kwako sawasawa.

Vv
 
Back
Top Bottom