peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Fuatilia kinachoendela.
Hali hapa Dar sio nzuri, nyumba za wajane zinauzwa usiku na mchana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu peno hasegawa, asante kwa taarifa hii.Fuatilia kinachoendela.
Hali hapa Dar sio nzuri, nyumba za wajane zinauzwa usiku na mchana.
Nami nasubiriaMohamed Said historia kidogo ya marehemu pamoja na hii nyumba tafadhali
Wanasema alikuwa na maghorofa zaidi ya 20 KariakooBalozi alikuwa Mtumishi, kwa nini pension wasilipe deni? au mkopo ulikuwa nje ya pension ?
Maisha siyo rafiki siku zote.
Ulitaka akakopee wapi?Nyumba oysterbay unakopea bank
Hiyo ya Ufipa st hamjakopea?Huko Chamazi Nyumba zinauzwa kila siku kwa minada
Tuko uchumi wa kati (kati ya umaskini na utajiri).Huko Chamazi Nyumba zinauzwa kila siku kwa minada