Tetesi: Nyumba ya mjane wa Balozi John Rupia Katibu Mkuu Kiongozi (mstaafu) yadaiwa kupigwa mnada

Tetesi: Nyumba ya mjane wa Balozi John Rupia Katibu Mkuu Kiongozi (mstaafu) yadaiwa kupigwa mnada

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
DC6B5A2C-7F20-4732-8243-809A2D47B80D.jpeg


Fuatilia kinachoendela.
Hali hapa Dar sio nzuri, nyumba za wajane zinauzwa usiku na mchana.

 
 
Fuatilia kinachoendela.
Hali hapa Dar sio nzuri, nyumba za wajane zinauzwa usiku na mchana.
Mkuu peno hasegawa, asante kwa taarifa hii.

Nyumba yoyote inapopigwa mnada maana yake ni imetumika kama collateral for loan.

Kama nyumba hiyo ni matrimonial home, haikubaliki as a collateral mpaka both spouses wasaini.

Mke kama ulisaini nyumba itumike as collateral, mume akachukulia mkopo, baadae mume akafa bila kuulipa huo mkopo, kifo cha mume hakifuti lile deni la ule mkopo, hivyo mkopo lazima ulipwe!. Ukishindwa kulipa, ujane sio an excuse kuizuia bank to recover its debts.

Huu ni mfano mzuri wa kuwafundisha Watanzania kuweka bima, kuna mpaka bima za mikopo, ukifa kabla hujamaliza kulipa mkopo, bima ina take over na kukulipia!.

Rupia ni among the top ten giant families zenye lots of properties jijini Dar es Salaam!. Yale maghorofa yote matatu pale Uhuru Roundabout ni ya baba yao Mzee John Rupia, ambapo wakati wa utaifishaji hayo hayakuguswa!.

Hivyo hilo la hii nyumba ni dogo tuu!.
Pole Mama Anna, hili ni dogo tuu kama upepo na litapita tuu!.
P
 
Back
Top Bottom