Nyumba ya msanii Batuli yaungua moto

Na lile banda la kuku la diamond natamani nalo liungue CCM watawajengea
 
Hahaha aitoe wapi hiyo nyumba....wanauza sura show off nyingi....
Kuwa baba mama mwenye nyumba kwa bongo movie naona ni mwiko
Heeh ina maana hapo alikuwa mpangaji tu?
 

Pyee angekua salon asingeoneka kwenye fiesta.
 
Aungue mara ngapi binamu? Hivi kuna kuungua kubaya kama kule kuungua kifua (nadhani umeshajua namaanisha nini).
Nimekumisije sasa?
 
Aungue mara ngapi binamu? Hivi kuna kuungua kubaya kama kule kuungua kifua (nadhani umeshajua namaanisha nini).
Nimekumisije sasa?

Tobaaa kumbe na yeye ndo wale wale?? Loh na alivyo bonge huwez hata mdhania, ndo wakome si wanapenda vya bure mxiewwww....mic u too binamu yaniiii
 
Tobaaa kumbe na yeye ndo wale wale?? Loh na alivyo bonge huwez hata mdhania, ndo wakome si wanapenda vya bure mxiewwww....mic u too binamu yaniiii

Wewe acha tu binamu, hizi ni habari za uhakika zisizo hata na chembe ya shaka.
Bibie anatumia minjingu pale alipo, tamaa ya maisha ndio inayopelekea yote hayo.
 
Pole yake asijali CCM watamjengea nyumbani nyingi maana huwa wanawajibika ktk mambo ya siyo na tija katika taifa.
 
Kaungua long time batuli,Hamna kitu hapo
 
Aungue mara ngapi binamu? Hivi kuna kuungua kubaya kama kule kuungua kifua (nadhani umeshajua namaanisha nini).
Nimekumisije sasa?

Duh Ahsante kwa kuniokoa Maana nilikuwa na mpango wa kuingia pale nilikuwa nishaanzisha mawasiliano kiana.
 
Duh Ahsante kwa kuniokoa Maana nilikuwa na mpango wa kuingia pale nilikuwa nishaanzisha mawasiliano kiana.

Ohooo! Hili mbona nimewahi kulisema sana huku?
Chukua tahadhari mkuu, maana una bahati baada ya 1st Sept haya mambo hatutaweza tena kuyajadili.
 
Wewe acha tu binamu, hizi ni habari za uhakika zisizo hata na chembe ya shaka.
Bibie anatumia minjingu pale alipo, tamaa ya maisha ndio inayopelekea yote hayo.

Hakaf ukimuona utadhan anasingiziwa umalaya
 
Nyumba imeungua na ccm imepoteza dira. Now children, this is what so called bad luck because of stupidity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…