laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Heeh ina maana hapo alikuwa mpangaji tu?Hahaha aitoe wapi hiyo nyumba....wanauza sura show off nyingi....
Kuwa baba mama mwenye nyumba kwa bongo movie naona ni mwiko
Nyumba ya muigizaji wa filamu, Batuli imetekea kwa moto. Nyumba hiyo ipo maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam
Nilikuwa saluni najiandaa ili niende kwenye fainali za TMT ndipo nilipopigiwa simu na majirani majira ya saa tatu usiku kuwa nyumba yangu inaungua na imeteketea yote kwa moto, Batuli aliiambia Clouds FM.
Iliniuma sana vitu vilivyonusurika ni magari yangu tu mawili, alisema kwa uchungu.
Aliongeza kuwa majirani walihisi chanzo cha moto huo kinaweza kuwa ni umeme. Hata hivyo hakuna aliyejeruhiwa.
Hii nyumba alikuwa amepanga tuu!
mmmmhhh kweli watu mna hasira na CCM!
Aungue mara ngapi binamu? Hivi kuna kuungua kubaya kama kule kuungua kifua (nadhani umeshajua namaanisha nini).
Nimekumisije sasa?
Tobaaa kumbe na yeye ndo wale wale?? Loh na alivyo bonge huwez hata mdhania, ndo wakome si wanapenda vya bure mxiewwww....mic u too binamu yaniiii
Bado ya diamond mimi na ccm kama paka na panya.
Bado ya diamond mimi na ccm kama paka na panya.
Aungue mara ngapi binamu? Hivi kuna kuungua kubaya kama kule kuungua kifua (nadhani umeshajua namaanisha nini).
Nimekumisije sasa?
Kaungua long time batuli,Hamna kitu hapo
Duh Ahsante kwa kuniokoa Maana nilikuwa na mpango wa kuingia pale nilikuwa nishaanzisha mawasiliano kiana.
Wewe acha tu binamu, hizi ni habari za uhakika zisizo hata na chembe ya shaka.
Bibie anatumia minjingu pale alipo, tamaa ya maisha ndio inayopelekea yote hayo.
Hakaf ukimuona utadhan anasingiziwa umalaya