tweenty4seven JF-Expert Member Joined Sep 21, 2013 Posts 15,863 Reaction score 19,626 Aug 27, 2015 #81 nifah said: Aungue mara ngapi binamu? Hivi kuna kuungua kubaya kama kule kuungua kifua (nadhani umeshajua namaanisha nini). Nimekumisije sasa? Click to expand... Wewe nifah inamaana kidonda kimeingia nzi kitambo nini
nifah said: Aungue mara ngapi binamu? Hivi kuna kuungua kubaya kama kule kuungua kifua (nadhani umeshajua namaanisha nini). Nimekumisije sasa? Click to expand... Wewe nifah inamaana kidonda kimeingia nzi kitambo nini
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,020 Reaction score 79,098 Aug 27, 2015 #82 tweenty4seven said: Wewe nifah inamaana kidonda kimeingia nzi kitambo nini Click to expand... Best usije kuingia hapo, bado tunakuhitaji.
tweenty4seven said: Wewe nifah inamaana kidonda kimeingia nzi kitambo nini Click to expand... Best usije kuingia hapo, bado tunakuhitaji.
tweenty4seven JF-Expert Member Joined Sep 21, 2013 Posts 15,863 Reaction score 19,626 Aug 27, 2015 #83 nifah said: Best usije kuingia hapo, bado tunakuhitaji. Click to expand... Hahaaa mimi nakula kwa macho 2.....mbna cjakuona leo kwenye mkutano wa bawacha
nifah said: Best usije kuingia hapo, bado tunakuhitaji. Click to expand... Hahaaa mimi nakula kwa macho 2.....mbna cjakuona leo kwenye mkutano wa bawacha
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,020 Reaction score 79,098 Aug 27, 2015 #84 tweenty4seven said: Hahaaa mimi nakula kwa macho 2.....mbna cjakuona leo kwenye mkutano wa bawacha Click to expand... Na ubakie hivyohivyo. Mie utaniona Jangwani jumamosi.
tweenty4seven said: Hahaaa mimi nakula kwa macho 2.....mbna cjakuona leo kwenye mkutano wa bawacha Click to expand... Na ubakie hivyohivyo. Mie utaniona Jangwani jumamosi.
Malyakishu JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 1,968 Reaction score 2,347 Aug 28, 2015 #85 Ms.Lincoln said: Batuli kahamia kwa Wema. Anavaa sare sare. Click to expand... Hawa senene wawili muda si mrefu watagombana kisa mabwana hawachelewi hao wanamitego yao ohooooo
Ms.Lincoln said: Batuli kahamia kwa Wema. Anavaa sare sare. Click to expand... Hawa senene wawili muda si mrefu watagombana kisa mabwana hawachelewi hao wanamitego yao ohooooo