Nyumba ya Mwalimu Julius Nyerere Maduka Sita, Magomeni

Nyumba ya Mwalimu Julius Nyerere Maduka Sita, Magomeni

Chizzo,
Nilisoma Nyaraka za Bilal Rehani Waikela katika Maktaba ya Muslim Student Association of the University of Dar es Salaam (MSAUD) miaka ya 1980s nikiwa mwanafunzi hapo chuoni na pia Katibu wa MSAUD.

Hizi nyaraka zilitakiwa zote zichomwe moto baada ya kumalizika mgogoro wa East African Muslim Welfare Society (EAMWS) na kuundwa BAKWATA.

Hii ilikuwa amri kutoka juu alivyonieleza Mzee Waikela.

Mzee Waikela yeye alikuwa katika Tume ya Mussa Kwikima iliyoundwa kutafuta suluhu ya mgogoro ule.

Mzee Waikela alizificha nyaraka zake zote pamoja na cutting za magazeti kwa miaka 20 kisha akazileta MSAUD kwa matunzo ili Waislam wajue ukweli wa mgogoro ule.

Wakati naandika kitabu cha Abdul Sykes nilisafiri hadi Tabora na nikafanya mahojiano na yeye nyumbani kwake pamoja na wazalendo wengine na wote wametangulia mbele ya haki kuhusu mchango wao katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mzee Waikela akanieleza mambo mengi yaliyotokea hasa baada ya uhuru mwaka wa 1961 hadi kufikia mwaka wa 1968 EAMWS ilipovunjwa na serikali.

Waikela anasema sababu ilikuwa EAMWS chini ya uongozi wa Aga Khan, Tewa Said Tewa na Mufti Sheikh Hassan bin Ameir ilikuwa inajenga Chuo Kikuu na serikali haikupendezewa na jambo hili.

Historia hii ipo katika sehemu ya tatu na ya mwisho katika kitabu cha Abdul Sykes kilichochapwa London mwaka wa 1998.
Chizzo,

Nakukamilishia picha yako.

Screenshot_20201105-053758.jpg

Screenshot_20201105-053758.jpg
 
Msanii hii nyumba haipo imevunjwa kuna jengo linaitwa Watumishi House.
Haya ndo makosa tunayoyafanya Tanzania.

Kitengo cha mambo ya Kale kipo wapi kulinda hizi historical relics zetu?

Shame
 
[emoji23]
Mwalimu baada ya kutoka UNO mwaka wa 1955

Hapa unamaanisha ile uno ya Harmonize [emoji848][emoji848]

Pamoja na hayo, Asante kwa historia mujara maana kumbe UNO kitambo sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chizzo,
Nilisoma Nyaraka za Bilal Rehani Waikela katika Maktaba ya Muslim Student Association of the University of Dar es Salaam (MSAUD) miaka ya 1980s nikiwa mwanafunzi hapo chuoni na pia Katibu wa MSAUD.

Hizi nyaraka zilitakiwa zote zichomwe moto baada ya kumalizika mgogoro wa East African Muslim Welfare Society (EAMWS) na kuundwa BAKWATA.

Hii ilikuwa amri kutoka juu alivyonieleza Mzee Waikela.

Mzee Waikela yeye alikuwa katika Tume ya Mussa Kwikima iliyoundwa kutafuta suluhu ya mgogoro ule.

Mzee Waikela alizificha nyaraka zake zote pamoja na cutting za magazeti kwa miaka 20 kisha akazileta MSAUD kwa matunzo ili Waislam wajue ukweli wa mgogoro ule.

Wakati naandika kitabu cha Abdul Sykes nilisafiri hadi Tabora na nikafanya mahojiano na yeye nyumbani kwake pamoja na wazalendo wengine na wote wametangulia mbele ya haki kuhusu mchango wao katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mzee Waikela akanieleza mambo mengi yaliyotokea hasa baada ya uhuru mwaka wa 1961 hadi kufikia mwaka wa 1968 EAMWS ilipovunjwa na serikali.

Waikela anasema sababu ilikuwa EAMWS chini ya uongozi wa Aga Khan, Tewa Said Tewa na Mufti Sheikh Hassan bin Ameir ilikuwa inajenga Chuo Kikuu na serikali haikupendezewa na jambo hili.

Historia hii ipo katika sehemu ya tatu na ya mwisho katika kitabu cha Abdul Sykes kilichochapwa London mwaka wa 1998.
Mzee nashukuru kwa maelezo mazuri. Asante kwa kuendelea kutujuza mengi Mungu aendelee kukujaaria afya njema
 
Back
Top Bottom