Nyumba ya room 3, million 21.9

Nyumba ya room 3, million 21.9

Kwa hela yako na eneo ulilopo unaweza kufika mbali...mm nimetumia 18ml kwa vyumba viwili vya kulala masterbedroom,dining,jiko store hadi kupaua ila nasisitiza uwe msimamizi kupe...mm hadi udongo waliokuwa wanakazia tofali ukianguka chini nauzoa ukiwa bado mbichi unachanganywa na ule mwingne[emoji23]...kwa hela yako unafika mbali coz unavyoendelea na ujenzi si bado utakuwa unapambana unaingiza hela
 
Upo sahihi mkuu kwa hela yake atafika hadi stage ya kupaua na ikiwezekana anaweza weka na magrill kabsa..ila ukishaanza kubadili lugha mara gysum,skimming,brandering hvyo vipengele vingne
21M hapo ni skeleton la nyumba ikowemo ushapaua apo tayar.

Ukianza kubadili lugha uwe n 21M nyingine ili uhamie
 
Hujasema sq meter
- Habari wajenzi

Mwaka huu nimefeli kuanza ujenz(na kutizma lengo) lakn panapomajaliw mwakan Natumain jambo langu hii nitalifaniksha

Ujenz ni :- Nyumba ya vyuma 3 + /master bedroom na single room 2 + public toilet ndani, na sehemu ya kula

Location :- WILAYAN KIBAHA (AROUND MITAA YA HALMASHAUR YA WILAYA YA KIBAHA

BAJET :- 21.9
Uwanja tayar nishaulipia.

NAOMBA SIMPLE BREAK DOWN YA HIKO KIASI NAWEZ FANYA UJENZ NA KUKAMILISHA KWA ASILIMIA NGAPI.

Naomba tusi complicated sana ni nyumba ya upauaji wa kawaida. Nko mezan nasubr data zenuView attachment 2810407
 
Back
Top Bottom