Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Yesu alisema,"Vipi Hekalu limegeuzwa kuwa pango la wezi na wanyang'anyi?"
Kwa wale ambao sio Wakristu tuseme kwamba Yesu akawaona wati wanafanya dili nyingi za pesa.
Akasema,"Baba yangu aliamuru hii iwe nyumba ya sala, lakini mmeibadili kuwa pango la wezi"
Ndio tunajiuliza serikali imekuwa vipi siku hizi?
Ripoti ya CAG inaoshenya jela zinaibiwa au zinafujwa.
Corruption katika utendaji kazi wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Ni wajibu wa kila raia kuhakikisha kwamba serikali haitunyang'anyi uhuru wetu.
Ni nani sijui yule alisema,sijui wale Wagiriki wa zamani (akina Socrates), sijjui nani,alisema:
"Kama wananchi wenye hasira hawawezi kuingia mitaani kuiondoa serikali ambayo haiwapendezi,basi hiyo siyo government of the prople, by the prople, for the people.
Kwa wale ambao sio Wakristu tuseme kwamba Yesu akawaona wati wanafanya dili nyingi za pesa.
Akasema,"Baba yangu aliamuru hii iwe nyumba ya sala, lakini mmeibadili kuwa pango la wezi"
Ndio tunajiuliza serikali imekuwa vipi siku hizi?
Ripoti ya CAG inaoshenya jela zinaibiwa au zinafujwa.
Corruption katika utendaji kazi wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Ni wajibu wa kila raia kuhakikisha kwamba serikali haitunyang'anyi uhuru wetu.
Ni nani sijui yule alisema,sijui wale Wagiriki wa zamani (akina Socrates), sijjui nani,alisema:
"Kama wananchi wenye hasira hawawezi kuingia mitaani kuiondoa serikali ambayo haiwapendezi,basi hiyo siyo government of the prople, by the prople, for the people.