mmewadadako
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 534
- 844
-Nyumba ipo kimara matosa njia panda ya Kimara na Matosa. Ni eneo lililotulia lisilo na kelele kwa ajili ya kujipumzisha na familia ukitoka kwenye mihangaiko ya siku nzima
-Nyumba ina vyumba 3 kimoja master,sebule,dinning,jiko na public water closet(toilet).
-Ina fense, perving blocks na garden ya kuvutia
-Ukubwa wa kiwanja ni square meter 600 ( 20 kwa 30).
-Nyumba ina hati hatimiliki.
Bei: makubaliano ya mteja na mwenye nyumba (uwezo wako wa kubargain tu )
mawasiliano: 0765494548/0755079111
-Nyumba ina vyumba 3 kimoja master,sebule,dinning,jiko na public water closet(toilet).
-Ina fense, perving blocks na garden ya kuvutia
-Ukubwa wa kiwanja ni square meter 600 ( 20 kwa 30).
-Nyumba ina hati hatimiliki.
Bei: makubaliano ya mteja na mwenye nyumba (uwezo wako wa kubargain tu )
mawasiliano: 0765494548/0755079111