GOSSO MZEKEZEKE
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 180
- 204
Asante kwa ushauri mzuri.Kununua nyumba ni jambo jema ila ni jambo hatari sana maana watanzania ni wapigaji.
Kuna watu wanaitwa jenga uza.. huwa wanajenga nyumba ya quality ya chini kisha anaifanyia finishing kalii ya rangii na gypsum ili ivutie na kupendeza machoni kumbe tofali zake ni michanga tupu.
Kama una uwezo wa kukopa milion 45 na unahitaji nyumba ya kuishi. Nakushauri kopa hela na ujenge mwenyewe.
Kivule viwanja vizuri vya milioni 5 vipo kibao.
Nunua kiwanja cha milioni 5. Kisha milioni 40 jenga nyumba mwenyewe ukisimamia. Uone utavyopata kitu kizuri
Wilaya ya Ilala DSM. Unapita banana then kitunda then unaenda au fremu kumi na huko ndio kivule.kivule ni wapi na propery value ya eneo husika ikoje
ukinunua hiyo nyumba sasa kwa 45mil, baada ya miaka mitano ukitaka kuiuza thamani yake itakuwaje?Wilaya ya Ilala DSM. Unapita banana then kitunda then unaenda au fremu kumi na huko ndio kivule.
Akupe picha za mchakato wa ujenzi uone ni ubora gani ulitumika, angalau inaweza sema kitu ingawa sio definitiveHabari zenu wana JF
Kuna nyumba inauzwa milioni 45 maeneo ya Kivule, ina sebule, dinning, jiko, vyumba vitatu vya kulala na kimoja master. tiles kote, madirisha ya aluminium, gril, matanki ya vyoo, maji ndani na umeme upo tayari, n.k. Nataka niendek benki nichukue mkopo nikanunue, je napigwa au ni sawa tu. inahitaji service kidogo tu. Naombeni ushauri
Asante kwa maoni.ukiinunua hiyo nyumba sasa kwa 45mil, baada ya miaka mitano ukitaka kuiuza thamani yake itakuwaje?
Mwaka fulani, miaka kama mitano hivi iliyopita, jamaa yangu mmoja alikopa bank na akabond nyumba yake. Alithamanisha nyumba yake kwa 100mil. Valuer wa benki alipokwenda mbagala kiburugwa kuiona nyumba akaivalue kwa 40mil. Akamwambia ingekuwa eneo lolote la wilaya ya kinondoni angeivalue kwa 150mil.
My Point; Uthamani wa nyumba unategemea eno ilipo. kuwa mwangalifu
Uyu jamaa kamaliza yote. Jenga nyumba yako mwenyewe kwa quality unayoitaka wewe. Full stop.Kununua nyumba ni jambo jema ila ni jambo hatari sana maana watanzania ni wapigaji.
Kuna watu wanaitwa jenga uza.. huwa wanajenga nyumba ya quality ya chini kisha anaifanyia finishing kalii ya rangii na gypsum ili ivutie na kupendeza machoni kumbe tofali zake ni michanga tupu. Kisha wanatafuta mteja wanamuuzia kwa bei yenye faida kubwa kwao
Kama una uwezo wa kukopa milion 45 na unahitaji nyumba ya kuishi. Nakushauri kopa hela na ujenge mwenyewe.
Kivule viwanja vizuri vya milioni 5 vipo kibao.
Nunua kiwanja cha milioni 5. Kisha milioni 40 jenga nyumba mwenyewe ukisimamia. Uone utavyopata kitu kizuri