Nyumba za Anne Semamba Makinda zinapigwa mnada!

Kichwa chako kikiota nywele nyingi hukulazimu kuzipunguza, hana mume wala mtoto.
Possibly ipo nguvu ya kiza,how is this madam,can I marry you?
-Yupo dada mmoja tajiri sana hana mume,ameolewa na big snake!,for all of his lifetimes,maamuzi mengine jamani!
 
Wewe hapo ndo hauelewi mdaiwa ni Anna Makinda lakini hivyo viwanja mmiliki ni Tony Kenan Makinda possibility ni huyo maza alikopea hati ya mtu mwingine ( ndugu yake ) na hajalipa deni...kila kitu kiameandikwa hapo
Nimekwisha elewa jamani, msinitoe roho bure!
 
3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…