Nyumba za kupanga na adha zake

Umejuaje mkuu....
Sa hivi nimemlisha mke wangu ujinga kwamba we ukimuona mpite tu, ili akitafuta kasababu shukanae mzima mzima.....

Nokia kitochi
 
Wenye nyumba ni wasumbufu baadhi yao au wengi wao......lakini baadhi ya wapangaji nao dah...ni shughuli kwa kweli...
 
Wenye nyumba ni wasumbufu baadhi yao au wengi wao......lakini baadhi ya wapangaji nao dah...ni shughuli kwa kweli...
Yaa kunawakati ni ligi....
nakumbuka zamani wakati nakua niliwahi kukaa jirani na Mzee mmoja mwenye nyumba anaitwa Mzee Kazimoto alikuwa msumbufu kweli kwa wapangaji wake...
ikatokea coincidence ya ajabu akahamia mpangaji mmoja anaitwa Kazikubomoa alikuwa msumbufu kweli kulipa kodi......
hivi vichwa vilisumbuana balaa....yani balaa!!!!
mpaka mwenye nyumba alikimbia nyuma manake alikuwa akiishi hapo hapo....
 
Mwambie mke wako asimjali huyo mama mwenye nyumba, na wewe usijali huyo mama mwenye nyumba, watoto wako wasimjali huyo mama mwenye nyumba, wote mkisikia maneno kuhusu nyingi kaeni kimya na msiwe na mpango wa kujua kasema nini. Believe me, mwezi mmoja mwingi atapata akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu hapa na copy na ku paste

Nokia kitochi
 
Habarini wana ndugu,

Hii thread ipo special kwa ajili ya kushare kwa pamoja vioja vyote ulivyokutana navyo kwenye nyumba ya kupanga.

Naanza mimi: Kuchota maji ni usiku tu zaidi ya hapo hairuhusiwi hiyo ilikuwa Tabata kwenye bonde la Msimbazi

Pia mwanamke inabidi usibadirishe
 
Kinachonikera n mtu kukupangia
Chakula ndan kwako et kitomoto
Marufuku wanakera Hawa wamama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja hiyo rafiki yangu, alikuwa anatoa mtoto mdogo nje (40) sasa akawa ameita shehe ili mtoto asomewe dua baada ya kunyolewa nywele. Aisee mama mwenye nyumba eti mlokole akakataa hataki mambo hayo. Rafiki yangu aliponipigia nikamwambia niachie mimi hiyo, wewe andaa chai, maandazi, chapati, roast maini na mkeka. Mambo ya shehe na ubani niachie mimi, muda ulipofika tukaingia na watu 3 wote tumekula suti kaliii, na kibegi chetu. Tukaingia ndani shehe kavua koti kapiga kanzu, tukaanza kupiga dua freshi, mtoto akanyolewa safi, dua ikaendelea, then tukagonga roast na chapati safiii. Na mama mlokole naye akapelekewa roast maini na chapati akagonga huku akiomba aongezewe...
 
Hivo vikero vidogo sana unaweza ukajishangaa unakaa hapo 10yrs hujajenga, mm nilikuwa napandishiwa kodi kila baada ya 6month. Nikaona isiwe shida nikakurupuka nikajenga fasta na kumuachia pango la 2month baada ya nyongeza ya 3(16month na 2month akabaki nayo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…