Nyumba za Magomeni ndugu zangu mmeokota dodo!

Nyumba za Magomeni ndugu zangu mmeokota dodo!

Nimesikia ndugu zetu wapangaji wa nyumba za Magomeni wanamuomba Mh. wauziwe nyumba zile kwa Tsh 17M? Kweli?

Serikali imesema itawauzia kwa Tsh 48M (chumba na sebule) na 56 + (kwa nyumba kubwa), na hii inalipwa kwa muda wa miaka 15.

Piga mahesabu yako vizuri kwa huyu atakaye lipa 56+ atatakiwa kulipa laki tatu tatu kila mwezi kwa muda wa miaka hiyo 15

Hii si bei ya kodi ya mwezi kabisa ya nyumba ya hadhi hiyo? Naona hawaoni uzito wa mali hii wanayotaka kumilikishwa kwa mteremko!
hakuna bustani hakuna space ya kutosha hiyo bei ni sahihi. kwa nchi kama hii yetu kama una uwezo jenga kwako upate space " every living organism thrive well where there's space". Hongera wanaMagomeni kwa kuokota dodo
 
Hujijui serikali wewe.

Hizo bei wanazozisema mwanzo. zinakuwa na interest kila mwaka.

Uliza watu walionunua nyumba za nssf ama NHC wanavyoshangaa deni linapandiana tu.

Ukitaka uzifaidi hizo bei ni uwe na hela cash.. usinunue kwa kulipa kidogo kidogo
Hapana kwa kundi hili kiasi ni hicho tu ndio maana wamewekewa utaratibu rafiki hata kama kila mwezi unapeleka kama kodi sawq ilimradi tu ndani ya miaka hiyo 15 iwe imetimia.Sasa kweli mkuu kama una hiyo 48milioni cash,ndio ununue nyumba ya chumba kimoja kweli?hiyo itakuwa ni matumizi mabaya ya UBONGO.
 
Hapo ndio mtihani
Maji yatavuja kwenye kuta mpaka udondoke
Nani wa kukarabati Enzi za mwalimu ndio tulikuwa tunapiga rangi akipita [emoji1]
Sure..labda wawe wanakopa service charge otherwise Itakuwa balaa
 
Back
Top Bottom