Nyumba za NSSF Kibada, Kigamboni

Nyumba za NSSF Kibada, Kigamboni

spiritual-thinker

Senior Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
137
Reaction score
73
Wanajamvi wataalamu na wazoefu wa ujenzi,
Nyumba za NSSF zenye ukubwa wa 125 sqm (built up area) zinauzwa TZS 114,000,000. Naomba mnijuze hii bei ni realistic au magumashi?
 
Wanajamvi wataalamu na wazoefu wa ujenzi,
Nyumba za NSSF zenye ukubwa wa 125 sqm (built up area) zinauzwa TZS 114,000,000. Naomba mnijuze hii bei ni realistic au magumashi?

Wanafanya biashara hao. Ukigenga mwenyewe nyumba hiyo haitazidi pengine milioni 40 kama umefanya usimamizi mzuru wewe mwenyewe ukiwa na mafundi wako. Kuna baadhi ya waheshimiwa pia siku hizi wameamua kufanya usimamizi wa ujenzi wa nyumba zao kuliko mtindo wa kukodi kampuni ikujengee.
 
Kutegemea na finishing, nyumba ya kawaida dar inaweza gharimu kati ya 500,000 hadi 700,000 kwa square meter. Kwa hesabu za haraka, hiyo nyumba bei ipo juu kuzidi bei za soko.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Wanajamvi wataalamu na wazoefu wa ujenzi,
Nyumba za NSSF zenye ukubwa wa 125 sqm (built up area) zinauzwa TZS 114,000,000. Naomba mnijuze hii bei ni realistic au magumashi?
Hizo nyumba zilishauzwa na zikaisha, Za vyumba viwili ziliuzwa mil 45 na ushee na za vyumba vitatu ziliuzwa mil 54 na ushee, walipost kwenye website yao. Sasa Kama unanunua sasa hivi, ni either kuna watu walitoa down payment na malipo yote yakawashinda au wanaouza sasa hv ni "Vishoka" Walinunua wakati bei halisi na sasa wamedouble...
 
Hizo nyumba zilishauzwa na zikaisha, Za vyumba viwili ziliuzwa mil 45 na ushee na za vyumba vitatu ziliuzwa mil 54 na ushee, walipost kwenye website yao. Sasa Kama unanunua sasa hivi, ni either kuna watu walitoa down payment na malipo yote yakawashinda au wanaouza sasa hv ni "Vishoka" Walinunua wakati bei halisi na sasa wamedouble...
Hizo zitakuwa za NHC na sio NSSF
 
Kutegemea na finishing, nyumba ya kawaida dar inaweza gharimu kati ya 500,000 hadi 700,000 kwa square meter. Kwa hesabu za haraka, hiyo nyumba bei ipo juu kuzidi bei za soko.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Vipi ukijumlisha bei ya kiwanja (sqm 700), kuvuta umeme, sewage system i.e septic tanks na maji? naamini havikuhusishwa kwenye makadirio yako ya awali
 
Hizo nyumba zilishauzwa na zikaisha, Za vyumba viwili ziliuzwa mil 45 na ushee na za vyumba vitatu ziliuzwa mil 54 na ushee, walipost kwenye website yao. Sasa Kama unanunua sasa hivi, ni either kuna watu walitoa down payment na malipo yote yakawashinda au wanaouza sasa hv ni "Vishoka" Walinunua wakati bei halisi na sasa wamedouble...

Acha uongo zilizouzwa ni za nhc pale kuna za nssf pia
 
Wanajamvi wataalamu na wazoefu wa ujenzi,
Nyumba za NSSF zenye ukubwa wa 125 sqm (built up area) zinauzwa TZS 114,000,000. Naomba mnijuze hii bei ni realistic au magumashi?

nunua tu kama una hela kama huna jenga ya kwa kwako na haitafikisha ghalama hiyo
 
Kutegemea na finishing, nyumba ya kawaida dar inaweza gharimu kati ya 500,000 hadi 700,000 kwa square meter. Kwa hesabu za haraka, hiyo nyumba bei ipo juu kuzidi bei za soko.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Si unajua kuna uwekano mkubwa wa 10% za watu wanaotoa hizo tender? Sector ya ujenzi imegubikwa na rushwa ya kutisha. Kupata kazi bila kumuwezesa anayetoa ni nadra sana. Mwisho wayote mlaji ndiye anayeumia
 
unaishi kibada?
au upo NHC?

Pale kibada Luna nyumba za hayo mashirika mawili hata ramani zao ni tofauti. Za nssf ni kubwa lijumba na compound yake. So iyo bei ukiplus na thamani ya land plus Kule kushakuwa prime area sio mbaya kiviiile
 
Ni kweli kijana tunatakiwa kuleta hela nchini,watu wa Africa magharibi wamejitahidi kutuma dolar nyingi nchinii mwao km zawadi kuwekeza na mengine mengi tofauti na sisi. Nchi km China, Pakistani, Korea,I ndia etc zinakadiriwa kupeleka hela chini mwao km misaada kwa jamaa na ndugu pekee kwa kiasi ambacho hata nchi za magharibu wamefika mahali pa kuangalia kwa makini. Mara nyingine wanachukulia km inawapunguzia mzigo wa kutoa misaada,na mara nyingi wanona kuwa ni threat ktk uchumi wao.

Statistics za makampuni ya money transfer companiies km Western Union zinaonyesha Hela za kutisha zikielekea Asia na kidogo Africa Magharibi. Hapo ndipo tutakapoona ubunifu wa wezetu ktk hii huduma na baadaye kujikita nchi masikini. Hawa jamaa jamaa wanatoa huduma ya kupeleka hela ila pia wanafanya kazi nzuri ya kuzirudisha. Wamejitahidi kujikita nchi masikini na kujenga faida kubwa ambayo mwishowe inawekwa ktk hard currency na kurudishwa.

Said sasa wewe umeweka wazo tunahitaji wataalamu wa uchumi nao waje na ujanja wa kuzipata hizi hela zilizojificha ktk hii reserve.Hapa panahitaji kuona mbali,si tuvutie hela ambayo mwishowa siku tunakuta tulifanyia tumbo.

Nadhani unaona hapo UK walivyoibana hela, ukipiga kazi hapo unapata hela ila mwisho wa siku unajikuta kila kitu kimeingia ktk sector za kiingereza na ziada ya kazi ngumu ndio unabaki nayo. Angalia unavyokuwa forced kutumia huduma zao na kulipa rents. Kile kiasi ulichoongezea nguvu za ziada ndicho kinabaki. Sasa sisi wabongo hatujaweza wabana wageni tunaowapa kazi za hela nyingi waziache hizo hela hapa waondoke na bidhaa au na starehe watakayoilipia hapa. Na hii ni rahisi kufanya kwa kutumia wachumi wetu.

idea ya informal sector inabid ikuzwe.Hata marekani kwa mra ya kwanza small companies na informal sector imeleta mapato yaliyowatisha.

HV umesoma niliyemquote au ?
 
Bei zs vishoks hizo ila bora wao bei zao kuliko national housing.
 
Pale kibada Luna nyumba za hayo mashirika mawili hata ramani zao ni tofauti. Za nssf ni kubwa lijumba na compound yake. So iyo bei ukiplus na thamani ya land plus Kule kushakuwa prime area sio mbaya kiviiile

napajua nnayo moja natafuta wapangaji,unataka kupanga?
 
Back
Top Bottom